Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
 
Rubbish 🗑 🚮! Ukiondoa uropokaji na mihemko Lissu anabaki na nini ? !!! Huyo ananufaika na watu wa nje wenye maslahi yao binafsi ! Pia kuna hoja ya msingi inamfanya ashindwe kuvivaa viatu vya mwenyekiti ,,, property qualification! Hii dunia haina huruma tena ,,,,
 
Rubbish 🗑 🚮! Ukiondoa uropokaji na mihemko Lissu anabaki na nini ? !!! Huyo ananufaika na watu wa nje wenye maslahi yao binafsi ! Pia kuna hoja ya msingi inamfanya ashindwe kuvivaa viatu vya mwenyekiti ,,, property qualification! Hii dunia haina huruma tena ,,,,

Angekuwa mropokaji asingekuwa Mwanasheria na wakili Nguli.

Nafikiri hujui mambo yanayomfanya mtu awe Mwanasheria Nguli na wakili mbobevu.
Ungekuwa Una idea Walau kidogo Wala usingefikiri achilia mbali kusema Lisu ni mropokaji
 
1.Hupigi kura mkuu

2.TL anatumika na Diaspora na Maria Sarungi

3.TL sio mtu mbaya, shida yake ni confrontation politics, nani atamwamini mtu wa namna hii?

4.CDM sio taasisi yenye fedha kama CCM, hizo Elf kumi kumi za Diaspora zinaweza endesha harakati za CDM kwel?

5.CDM itajiondolea uwezo wao kama tassisi wa kuaminika na taasisi kwenye mambo mengine ya kiserikali, hiyo openness anayoitaka TL ni ya kuendesha chekechea sio Chama cha siasa chenyr ushawishi...

6.TL anajua kuzungumza, amewahi kuongoza taasis gani ya mafanikio tangu azaliwe?

Mnamponza kijana apotee
 
Angekuwa mropokaji asingekuwa Mwanasheria na wakili Nguli.

Nafikiri hujui mambo yanayomfanya mtu awe Mwanasheria Nguli na wakili mbobevu.
Ungekuwa Una idea Walau kidogo Wala usingefikiri achilia mbali kusema Lisu ni mropokaji
Kuwa wakiki nguli hakumnyimi mtu sifa ya uropokaji ,,,, hii ni inborn Simlaumu, ukweli ni viatu havimtoshi
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Haahaa umemaliza, lissu amepita viwango vyote.Mbowe kipindi Cha Jpm alilegea hatari.Lissu na heche waliface Jpm live.Chadema wakitumia ushabiki tu na uchawa kumweka lissu pembeni wasitafute mchawi
 
Back
Top Bottom