Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Kimantiki huwezi kuwa Mwanasheria Nguli na wakili Nguli alafu uwe mropokaji.

Ili uwe Mwanasheria Nguli lazima ujue kujenga hoja zenye mantiki. Na huwezi kuwa mjenga hoja mwenye mantiki alafu ukawa mropokaji.

Nafikiri unachanganya mafaili
Nitumie lugha ya mtaani na nyepesi ! Jamaa friji lake haligandishi
 
3.TL sio mtu mbaya, shida yake ni confrontation politics, nani atamwamini mtu wa namna hii?
Siasa BARIDI za Mbowe ndiyo Tijara ya Kizimkazi, huyu Mama anatakiwa apelekwe mchakachaka kama Rutto wa Kenya.

Ni Lissu ndio ataweza ziko Taasisi nyingi ziko tayari ku fund harakati za kuleta Mageuzi ikiwemo REFORMS kwenye Mfumo wa Uchaguzi na KATIBA MPYA.

Lissu anakubalika huko Ford Foundation kuliko Mbowe.
 
 
Kimantiki huwezi kuwa Mwanasheria Nguli na wakili Nguli alafu uwe mropokaji.

Ili uwe Mwanasheria Nguli lazima ujue kujenga hoja zenye mantiki. Na huwezi kuwa mjenga hoja mwenye mantiki alafu ukawa mropokaji.

Nafikiri unachanganya mafaili
Kukemea uovu katika taasisi yako ndiyo hawa vibwengo wanaita kuropoka. Tanzania imekuwa ya hovyo kwa tabia hii ya kufumbia macho maovu na kuoneana haya.
 
Kimantiki huwezi kuwa Mwanasheria Nguli na wakili Nguli alafu uwe mropokaji.

Ili uwe Mwanasheria Nguli lazima ujue kujenga hoja zenye mantiki. Na huwezi kuwa mjenga hoja mwenye mantiki alafu ukawa mropokaji.

Nafikiri unachanganya mafaili
Ili usimwite mropokaji lazima anyamaze. Na akinyamaza lazima aache siasa na akiacha siasa hana la kufanya zaidi ya kuitwa muoga, au amenunuliwa. Kuna msululu wa wanasheria machachari kama Marehemu Lamwai, kwa Sasa Mwabukusi nk wote walifika kikele kitaifa kwa kusema/kukosoa au kutokubaliana na mamlaka ambapo masikini sie hukunja mikia na kuufyata.
 

Na Kazi za kiharakati hutakiwa kufanywa Kwa weledi na wanasheria
 
Washabiki na wafuasi wengi wa chadema wanamtaka lissu uwenyekiti chadema
Mimi sipo team yoyote na si fan wa Lissu kabisa ,ila Nimegundua, CCM wengi ndio wenye hofu na Lissu kuwa Mwenyekiti.
Anyways,
Mimi ni mpenzi mtazamani.
 

Ford foundation wana fund wanaharakati binafsi na sio political parties...

Na kwa sheria za TZ hairuhusiwi kabisa, labda mafunzo na capacity building sio fund za daily activities

Sasa unaambiwa Kufund event moja kama mkutano mkuu wa Chama inahutajika 1B TL atazi rise vipi?

Nakubaliana na wewe kwamba siasa za opposition itabidi zibadilike, lakini ni kitu gani kinamzuia TL kufanya siasa anazotaka kufanya sasa akiwa Makam Mwenyekit?

Ni Bahati mbaya TL hajawahi ongoza taasisi yeyote yenye mafanikio kama kiongozi toka azaliwe...
 
Lisu APEWE uenyekiti, kama ishu ni ufadhili wa chama, kwani mbowe hawezi kufadhili chama asipokuwa mwenyekiti.????
 
Achana na marehemu JPM waende kwa Kikwete alieHAI.
 
Kama ni Lissu kweli alisababisha ndege yetu kushikiliwa huko nje, hafai kuwa raisi. Aendelee tu na taaluma yake ya sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…