Yericko Nyerere: Polepole angekuwa CHADEMA tusingemvumilia, haiwezekani kiongozi kukivua nguo chama hadharani. Nape ni kiongozi

Yericko Nyerere: Polepole angekuwa CHADEMA tusingemvumilia, haiwezekani kiongozi kukivua nguo chama hadharani. Nape ni kiongozi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Yericko Nyerere anasema Nape Nnauye ndio Kiongozi wa mwisho kijana kuongoza CCM ambaye chama kilimuandaa hawa UVCCM wengine wanaoongoza wameokotwa okotwa tu mitaani hawana nidhamu wala heshima.

Yericko anasema kwa mfano Polepole alikuwa ni Kiongozi mkubwa sana ndani ya chama na anajua siri nyingi kama siyo zote sasa kutoka hadharani na kuanzisha Chuo cha kukichamba chama chake ni uchizi na ujuha uliopitiliza.

Chanzo: Medani za Siasa Star tv

Kipindi kinaendelea.
 
Polepole inatakiwa afutwe uanachama kwakweli!
 
Yericko Nyerere anasema Nape Nnauye ndio Kiongozi wa mwisho kijana kuongoza CCM ambaye
Polepole ni mhimili binafsi wa chama.
Naona wanashindwa namna ya kumdhibiti, ati yeye na Kivukoni ngoma draw.
Pole kwa CCM yangu isiyo na dira ya kisiasa, hata wajinga wanakipopoa.
Kina Chingolo bure kabisa.
 
Yericko siasa wapi na wapi wewe tafuta hela ya kula tu na kuuza tuvipeperushi twako twa kusoma watoto wa darasa la pili, humuwezi hata robo komredi Polepole, hangaika na SACCOS yako ili mumutoe ndani gaidi wenu. Mnarukaruka tu utadhani chura aliyemwagiwa chumvi.
 
Kinacho msumbua Mr.slow slow ni njaa maana alikuwa mnufaika mkubwa wa utawala wa Jiwe Sasa mambo yame badilika anatapatapa akipata teuzi ataanza kuimba mapambio.


FB_IMG_16199739007407901.jpg
 
Polepole ni mhimili binafsi wa chama.
Naona wanashindwa namna ya kumdhibiti, ati yeye na Kivukoni ngoma draw.
Pole kwa CCM yangu isiyo na dira ya kisiasa, hata wajinga wanakipopoa.
Kina Chingolo bure kabisa.
Naona huijui tena "CCM yako."

Wewe unadhani Popole anapata hewa yake toka wapi? Unadhani yupo peke yake?
 
Polepole inatakiwa afutwe uanachama kwakweli!
Acha chuki zakijinga ccm japokuwa ni ya hovyo lkn kuna mambo wanayaheshimu sana ktk chama chao, kama vile uhuru wa maoni na haki ya kila mwanachama, ingekuwa ni chadema mlivyo na roho za korosho za kutopenda kukosolewa basi mngeshammaliza zamn sana.

Na haya mambo tunayaona hata kwa watu wenu wale mahodari wenu watetez wa twitter, huwa hawapendi kukosolewa hata kama wamekosea, wao wanaamini wanajua kila kitu na neno la kiongoz wenu nikama amri ambapo hutakiw kuhoji wala kujajii lolote zaid ya kuunga mkono,

Kwa akili hizo msitegemee kuja kuchukua madaraka ktk hii nchi, maana mtatumaliza hata sisi tusioshabikia vyama vya siasa zaid ya kuongea kweli...

Ukweli unauma sana
 
Yericko Nyerere anasema Nape Nnauye ndio Kiongozi wa mwisho kijana kuongoza CCM ambaye chama kilimuandaa hawa UVCCM wengine wanaoongoza wameokotwa okotwa tu mitaani hawana nidhamu wala heshima

Yericko anasema kwa mfano Polepole alikuwa ni Kiongozi mkubwa sana ndani ya chama na anajua siri nyingi kama siyo zote sasa kutoka hadharani na kuanzisha Chuo cha kukichamba chama chake ni uchizi na ujuha uliopitiliza.

Source: Medani za Siasa Star tv

Kipindi kinaendelea.......
Kinachomtesa Polepole ni damu za watu walizoshiriki kumwaga.

Vile anavyofanya anapata relief.

Ana psychological suffering tena ikizingatiwa waliomtuma wamemtema.
 
acha chuki zakijinga ccm japokuwa ni ya hovyo lkn kuna mambo wanayaheshimu sana ktk chama chao, kama vile uhuru wa maoni na haki ya kila mwanachama, ingekuwa ni chadema mlivyo na roho za korosho za kutopenda kukosolewa basi mngeshammaliza zamn sana.

na haya mambo tunayaona hata kwa watu wenu wale mahodari wenu watetez wa twitter, huwa hawapendi kukosolewa hata kama wamekosea, wao wanaamini wanajua kila kitu na neno la kiongoz wenu nikama amri ambapo hutakiw kuhoji wala kujajii lolote zaid ya kuunga mkono,

kwa akili hizo msitegemee kuja kuchukua madaraka ktk hii nchi, maana mtatumaliza hata sisi tusioshabikia vyama vya siasa zaid ya kuongea kweli...

ukweli unauma sana
Uhuru wa maoni?? Utopolo mtupu.

Walipochapisha fomu moja mwaka jana uke ndio uhuru unaosema?
 
acha chuki zakijinga ccm japokuwa ni ya hovyo lkn kuna mambo wanayaheshimu sana ktk chama chao, kama vile uhuru wa maoni na haki ya kila mwanachama, ingekuwa ni chadema mlivyo na roho za korosho za kutopenda kukosolewa basi mngeshammaliza zamn sana.

na haya mambo tunayaona hata kwa watu wenu wale mahodari wenu watetez wa twitter, huwa hawapendi kukosolewa hata kama wamekosea, wao wanaamini wanajua kila kitu na neno la kiongoz wenu nikama amri ambapo hutakiw kuhoji wala kujajii lolote zaid ya kuunga mkono,

kwa akili hizo msitegemee kuja kuchukua madaraka ktk hii nchi, maana mtatumaliza hata sisi tusioshabikia vyama vya siasa zaid ya kuongea kweli...

ukweli unauma sana
Lumumba fc eti hana chama🤣🤣🤣
 
Yericko siasa wapi na wapi wewe tafuta hela ya kula tu na kuuza tuvipeperushi twako twa kusoma watoto wa darasa la pili, humuwezi hata robo komredi Polepole, hangaika na SACCOS yako ili mumutoe ndani gaidi wenu. Mnarukaruka tu utadhani chura aliyemwagiwa chumvi.
Polepole alikuwa master minder wa maovu mengi ya ccm. Wamemtumia na kumtupa kama ndomu sasa anahangaika.
 
Hivi Youth au Kijana ni umri upi?
Kwa uelewa wangu Kijana ni miaka 18-30 sasa akina Nape bado ni Youth?
Kuna watu wengi hasa wanasiasa utasikia ' sisi vijana'
Tusiogope kukua kiumri
Nape Polepole hahahh musiba hawa nao eti Youth
Nchi ina mizigo mingi kupindukia
 
acha chuki zakijinga ccm japokuwa ni ya hovyo lkn kuna mambo wanayaheshimu sana ktk chama chao, kama vile uhuru wa maoni na haki ya kila mwanachama, ingekuwa ni chadema mlivyo na roho za korosho za kutopenda kukosolewa basi mngeshammaliza zamn sana.

na haya mambo tunayaona hata kwa watu wenu wale mahodari wenu watetez wa twitter, huwa hawapendi kukosolewa hata kama wamekosea, wao wanaamini wanajua kila kitu na neno la kiongoz wenu nikama amri ambapo hutakiw kuhoji wala kujajii lolote zaid ya kuunga mkono,

kwa akili hizo msitegemee kuja kuchukua madaraka ktk hii nchi, maana mtatumaliza hata sisi tusioshabikia vyama vya siasa zaid ya kuongea kweli...

ukweli unauma sana
Kigogo alipoanza kuhojihoji wakamfuta uanachama!
 
Hivi Youth au Kijana ni umri upi?
Kwa uelewa wangu Kijana ni miaka 18-30 sasa akina Nape bado ni Youth?
Kuna watu wengi hasa wanasiasa utasikia ' sisi vijana'
Tusiogope kukua kiumri
Nape Polepole hahahh musiba hawa nao eti Youth
Nchi ina mizigo mingi kupindukia
18 - 35 kwa mujibu wa katiba ya UVCCM

18 - 30 kwa mujibu wa katiba ya Bavicha

Ole sabaya akiwa CCM ni kijana lakini akiwa Chadema ni mzee!
 
Back
Top Bottom