Yericko Nyerere: Polepole angekuwa CHADEMA tusingemvumilia, haiwezekani kiongozi kukivua nguo chama hadharani. Nape ni kiongozi

HAKUNA WA KUMFUKUZA POLEPOLE CCM WAMEUFYATA
 
Kwa hiyo Yeriko anaionea uchungu CCM kwa hicho anachosema Polepole! Kama kweli Polepole anakivua nguo chama chake basi Yeriko angekuwa anafurahi. Anaielekeza CCM kiongozi gani alikuwa mzuri kwao!
 
Huyu naye siku hizi hajulikani kama yupo CCM au Chadema. Naona kama ana jisogeza taratibu!!
 
Rubbish, hilo genge la magaidi nalo ni chama au utopolo.
 
Kwa kweli mie nina shangaa sana kuwa hajachukuliwa hatua mpaka leo.

Yeye yumo chamani. nakama chama kinakosea basi ende kwenye vikao na kutowa mawazo yake.
yeye yuomo bungeni kama serikali inaboronga ende bungeni kuelezea misimamo yake. Azuie bajeti zisipite .

Siyo kupiga kelele ovyo.
Wakupiga kelele huku nje ni ambaye hayumo bungeni na hayumo katika chama kinacho ongoza serikali.
 
Naona sindano imekuingilia pabaya bwashee
 
Polepole aka mzee wa vieteee ni muhuni mmoja hivi...na ndani ya CCM wapo wengi tu.

Sasa wahuni wenzake wamevunja getto wakakomba wanavyovitaka...ati anamlilia Mungu...Leo ndiyo kajua Mungu yupo eee !!
 
Kwa sababu Nape alikuwa anafanya deal ya Bao la mkono na Mbowe.

Huyu Yeriko ni uzao wa ufisadi hana jipya zaidi ya kuganga njaa tu.
 
Polepole bado yupo kweli? Maana kadri anavyoona kina Ndugai wanashughulikiwa anazidi kuwa mdogo kama punje ya sukari
 
Kazi indeleee chochea chochea kuni๐Ÿ˜€๐Ÿ˜„
Sukuma GANG kama nawaona wanatamani kumteka Yeriko.
 
Ni sawa kabisa maana CHADEMA mawazo ni atoe Lisu na Mbowe tu!

Wengine wakitoa maoni yao wanaambiwa sumu haionjwi kwa kuramba.
Muulize Zitto kilichomkuta.
Chama la magaidi ni madikteta wanajulikana
Sisi kazi yetu ni moja tu ,kuwaputisha mchanga na kuwacholea mstari MaCCM mraruane.
Sukuma GANG mlivyokosa hekima mnajaa kweli kweli na Samia anawafanya vibaya mno๐Ÿ˜€๐Ÿ˜„๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ