Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kila anayepingana na mtizamo wa Yeriko Nyerere anaonekana kama siyo mwadilifu na hana nia njema na chadema.
Yeriko anaamini anavyotambua yeye kampeni zilipaswa ziwe na elementi ya heshima kwa Mbowe. Anashindwa kutambua kwamba madaraka ya kisiasa siyo kubembelezana na kusifiana.
Hata Mbowe angekuwa na miemuko kama ya Yeriko sidhani kama CHADEMA ingekuwepo. Matusi na kutisha wanachama kuwaondoa kwenye kisa wamepingana na Mbowe siyo mfumo wa demokrasia. Siyo kila mtu ataweza na kutenda kama Yeriko. Baadhi wana fikra tofauti na lazima wasikilizwe.
Katika kipindi ambacho Yeriko ameonyesha kutokuwa na uvumilivu ni kipindi hiki. Siyo yeye tu bali hata akina Wangwe, Mbowe Jr, na Ntobi wameonyesha kutokomaa kisiasa na kutambua haki ya kugombea na kuchaguliwa inabaki kwa wapiga kura siyo wana mitandao.
Wagombanao ndio wapatanao.
Yeriko anaamini anavyotambua yeye kampeni zilipaswa ziwe na elementi ya heshima kwa Mbowe. Anashindwa kutambua kwamba madaraka ya kisiasa siyo kubembelezana na kusifiana.
Hata Mbowe angekuwa na miemuko kama ya Yeriko sidhani kama CHADEMA ingekuwepo. Matusi na kutisha wanachama kuwaondoa kwenye kisa wamepingana na Mbowe siyo mfumo wa demokrasia. Siyo kila mtu ataweza na kutenda kama Yeriko. Baadhi wana fikra tofauti na lazima wasikilizwe.
Katika kipindi ambacho Yeriko ameonyesha kutokuwa na uvumilivu ni kipindi hiki. Siyo yeye tu bali hata akina Wangwe, Mbowe Jr, na Ntobi wameonyesha kutokomaa kisiasa na kutambua haki ya kugombea na kuchaguliwa inabaki kwa wapiga kura siyo wana mitandao.
Wagombanao ndio wapatanao.