YES Tunahitaji Apartments Tanzania Lakini si kila Mkoa

Mmmmh naona ligi ya tatu imeanza ila hii ya tatu ni "TAMU"...
cc Ritz
 
Last edited by a moderator:

Go ahead of dreaming is you think dreaming is always to success! Some may dream to be gays, take care!

JF is a home of great thinkers, if you dont belong here, keep on meandering like a river on a flood plain!

You keep on proving your immaturity by not getting the content but rather dwelling to minor issues like spelling mistake
 
Bado unasubiriwa utaje mkoa usiohitaji apartments.

Halafu Gaijin naye anasubiri list ya vitabu.

Unaongelea apartment kwa ajili ya nini ZeMarcopolo, for owner occupied? For Rentals or for Sale! Ukinipa jibu kwanza ndio nitarudi! Bado una-prove kutoelewa mada.

Kwa imani yko ulisha-conclude kwamba hakuna kiatbu cha Mbongo cha Real Estate, hata nikikutajia list utaishia kuwakashifu watunzi wa hivyo vitabu, maana wewe tayari unaamini, only whites can do! Na kwa nini uulize nimetumia kitabu gani, kwani lazima nitumie kitabu, kwa nini usiamini kwamba na mimi ninaweza kuwa source? Kwako mtunzi wa professional book lazima atoke magharibi?
 

List kaiomba Gaijin. Mimi nilitaka kimoja tu. Huwezi kunyanyuka tu na kuwa source lazima ujifunze kwanza. Rudi posts za nyuma ujikumbushe sababu ya kukuuliza kitabu.

Apartments zote ziko kwa ajili ya watu kuishi. Hakuna apartment zinazojengwa kwa ajili ya kuhifadhi korosho.
Just nyumbulisha mkoa huu hazihitajiki apartment za sale, huu za kupangisha na huu za kuishi wamiliki (huyo mmiliki anayejenga apartments aishi sijui atakuwa mwarabu wa wapi).
 
Kumbe uko ki-league zaidi, pole sana!

Of course hii ni ligi of ideas. Ningekuwa siko kiligi ningekuacha longtime uendelee kuamini ujinga wako, but the problem is ungewapotosha wasomaji wetu wa hili jukwaa. That's why I challenged your "thoughts" and you FAILED to defend yourself.
 
Go ahead of dreaming is you think dreaming is always to success! Some may dream to be gays, take care!

Unapoanzisha thread, jifunze kuiprotect thread yako from unnecessary diversions. Nimeshakupa warning twice ealier. Nadhani Umeona jinsi ulivyozalisha thread ndani ya thread kwa kuandika controversial matters. Homosexuality is the most controversial aspect of modern societies. Bringing it here simply invites unnecessary diversion...
 
Discussion nzuri, ila naona bei zenu wengi ziko chini sana. 50 mil haununui apartment mjini, na laki 8 kupanga mjini ni ngumu vile vile, bei ni balaa right now ila kwa kuangalia wanavyojenga kwa fujo nadhani hii bubble itapasuka muda si mrefu tutaanza kupata apartments kwa bei chee 😛layball:. Cheki Dar es Salaam apartments | apartments in Dar es Salaam & Tanzania > ZoomTanzania.com kupata idea ya bei za apartments dar mjini.
 

Unaona unavyojichangaya? You keep on proving your immaturity on understanding the subject matter! Kwani leo hii TANESCo wakisema wajenge apartments Namtumbo kwa ajili ya staff wake kuna tatizo? Je, hii ndio ilikuwa hoja yangu? Hoja umeamua kuiweka ki-league zaidi ndio maana you run put of the line, poor DUDE!
 

You are right mkuu, japo bado kuna watu wanasupport we can put apartments anywhere ain Tanzania and still may sell, ikiwa Dar nado selling ni ku-struggle! ZeMarcopolo umemwelewa Kang au ume-like tu? Business as usual!
 

Hahahahahahahahhahahaha yaani thread umeaznisha mwenyewe halafu umeikimbia!!!

Taja mkoa usiohitaji apartments.
 
Of course hii ni ligi of ideas. Ningekuwa siko kiligi ningekuacha longtime uendelee kuamini ujinga wako, but the problem is ungewapotosha wasomaji wetu wa hili jukwaa. That's why I challenged your "thoughts" and you FAILED to defend yourself.

You still believe these are my thoughts! You may agree to disagree but that is the actual on the ground! Ni kwa huu unaouita ujinga ndio unanifanya nizidi kuongeza siku! Hata hivyo nashukuru kwa kunisaidie niendelee kutoa maelezo maana imenisaidia kuzidi kupata more deals through PM, wewe kalaghabhao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…