Yesu wa Tongaren aachiwa huru. Jaji aamuru aletwe Yesu halisi

Yesu wa Tongaren aachiwa huru. Jaji aamuru aletwe Yesu halisi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Yesu wa Tongaren ameachiwa kuendelea na shughuli zake baada ya waliomshitaki kudai yeye sio Yesu Original.

Waendesha mashtaka wakishindwa kuthibitisha ni vipi Yesu wa Tongaren sio Original hivyo Jaji akaamuru kuachiwa huru la sivyo waje na ushahidi wa Yesu Original Ili Yesu wa Tongoleani atiwe hatiani.

Wakenya bwana 😂😂😂😂

====

IMG_7278.jpeg


Hakimu wa mahakama ya Bungoma chini Kenya, Tom Orlando amemwachilia huru Yesu wa Tongareni kwa kuutaka upande wa mashtaka umlete Yesu halisi.

Hakimu: “Kama huyu siyo yesu halisi mleteni yule halisi athibitishe ni yeye na huyu wa bandia awekwe ndani kwa kuchezea jina la Yesu halisi”

Jambo TV
 
Waendesha mashtaka wakishindwa kuthibitisha ni vipi Yesu wa Tongoleani sio Original hivyo Jaji akaamuru kuachiwa huru la sivyo waje na ushahidi wa Yesu Original Ili Yesu wa Tongoleani atiwe hatiani.
Wakenya bwana
Wanakwenda kumgawana
 
Ina maana hata yule Pastor Mackenzie wa Kenya akiitaka Mahakama ithibitishe kua wale wate waliokufa kwa kufunga bila kula kama hawajakutana na Yesu mbinguni,nae atashinda kesi?
Huyo hawezi kuchomoka kwasababu yeye ni mjinai na ushahidi wa jinai yake ni hiyo miili iliyofukuliwa.
Mahakamani wanahitaji ushahidi halisi na unao onekana. So, as long as miili ya watu alio waua ilipatikana basi yeye ataeleza vizuri hao walio enda mbinguni walienda na miili ipi?

Note; kama makuburi yote wangekuta patupu(hakuna maiti) basi Mackenzie angeshinda asubuhi kwa hoja ya kuwa hao wote waliofariki wapo mbinguni tayari ndo maana kwenye makaburi yao hakuna miili yao.
 
Yesu wa Tongoleani ameachiwa kuendelea na shughuli zake baada ya waliomshitaki kudai yeye sio Yesu Original..

Waendesha mashtaka wakishindwa kuthibitisha ni vipi Yesu wa Tongoleani sio Original hivyo Jaji akaamuru kuachiwa huru la sivyo waje na ushahidi wa Yesu Original Ili Yesu wa Tongoleani atiwe hatiani.
Wakenya bwana 😂😂😂😂

Aahahaaaaa

Waje wanichukue Mimi wanipeleke
 
Yesu wa Tongoleani ameachiwa kuendelea na shughuli zake baada ya waliomshitaki kudai yeye sio Yesu Original..

Waendesha mashtaka wakishindwa kuthibitisha ni vipi Yesu wa Tongoleani sio Original hivyo Jaji akaamuru kuachiwa huru la sivyo waje na ushahidi wa Yesu Original Ili Yesu wa Tongoleani atiwe hatiani.
Wakenya bwana 😂😂😂😂

Mwakani lazima asulubishwe
 
Huyo hawezi kuchomoka kwasababu yeye ni mjinai na ushahidi wa jinai yake ni hiyo miili iliyofukuliwa.
Mahakamani wanahitaji ushahidi halisi na unao onekana. So, as long as miili ya watu alio waua ilipatikana basi yeye ataeleza vizuri hao walio enda mbinguni walienda na miili ipi?

Note; kama makuburi yote wangekuta patupu(hakuna maiti) basi Mackenzie angeshinda asubuhi kwa hoja ya kuwa hao wote waliofariki wapo mbinguni tayari ndo maana kwenye makaburi yao hakuna miili yao.
Mkuu.issue ya kiimani ni ngumu kuithibitisha ili ionekane kwa macho,
vipi kama akisema kinachoenda mbinguni ni roho na sio miili?
 
Huyo hawezi kuchomoka kwasababu yeye ni mjinai na ushahidi wa jinai yake ni hiyo miili iliyofukuliwa.
Mahakamani wanahitaji ushahidi halisi na unao onekana. So, as long as miili ya watu alio waua ilipatikana basi yeye ataeleza vizuri hao walio enda mbinguni walienda na miili ipi?

Note; kama makuburi yote wangekuta patupu(hakuna maiti) basi Mackenzie angeshinda asubuhi kwa hoja ya kuwa hao wote waliofariki wapo mbinguni tayari ndo maana kwenye makaburi yao hakuna miili yao.
Law is funny sometimes [emoji23][emoji23]
 
Atathibitisha roho iko wap kwny mwili wa mwanadamu then tutaangalia kwa maiti zote km hawana roho ama vip?!!

NB:Mimi sio mwanasheria jmn just tryin' to make a point
Roho ni ile hali ya uhai,roho sio organ inayo onekana kwenye mwili wa Binadamu.

Kwanini unakwepa swali kwa Mahakama kuthibitisha kua hao wafu hawajakutana na Yesu kama alivyo waambia kabla ya kufunga?
 
Back
Top Bottom