Yet again, Salim Kikeke anaonesha ni jinsi gani alivyo nguli katika habari

Yet again, Salim Kikeke anaonesha ni jinsi gani alivyo nguli katika habari

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Katika usawa huu wa waandishi machawa, waongelea masihara pasipo masihara, dhihaka palipo serious, kuimba nyimbo za sifa, kuogopa ku-balance habari, kurusha habari za udaku muda wote angali zinazo trend ni zile serious, etc

Sina mengi ya kusema ila unajionea mwenyewe kazi yake.
 
Naona kikeke annasifiwa sana, kafanya nini? Cha zaidi ya kina Monyo wa ITv na wengine kwa siku ya jana, maana nimewaona, Bona TV, Millard ayo TV na wengi tu, what's going on?
 
Back
Top Bottom