Yeye Mwanza mimi Tanga, wenzangu mnawezaje haya mahusiano ya long distance relationship?

Yeye Mwanza mimi Tanga, wenzangu mnawezaje haya mahusiano ya long distance relationship?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Nahitaji ushauri kuhusu jinsi ya kuishi na mpenzi aliye mbali (distance love). Kiukweli, naona kama tunadanganyana tu. Kila mara ni "nakupenda, nakupenda," lakini mimi ninahisi hali ni tofauti, kwamba huko aliko, labda anahusiana na mtu mwingine.

Mwanamke huyu si wa kumuamini kabisa, ila mimi nimenyooka sana. Suala la kupiga mademu halipo kabisa kwangu kwa sasa.

Yeye yupo Mwanza, na mimi nipo Tanga. Sasa, je, haya ni mapenzi au kudanganyana tu? Ninajikuta nikihangaika kuelewa maana ya uhusiano wetu. Ikumbukwe kwamba mwanamke mwenyewe ndiye aliyenitafuta na kuniambia kuwa ananipenda.

Kwa kuona heshima hiyo, sikuona sababu ya kumkataa, lakini sasa najikuta na maswali mengi kuhusu uaminifu wake na mustakabali wa uhusiano wetu.

Naomba ushauri. 🙏
 
Kama yeye ndio alikutongoza.

Na una wasiwasi hivi.

hiyo imeeenda, imeenda bwana.
 
Nahitaji ushauri kuhusu jinsi ya kuishi na mpenzi aliye mbali (distance love). Kiukweli, naona kama tunadanganyana tu. Kila mara ni "nakupenda, nakupenda," lakini mimi ninahisi hali ni tofauti, kwamba huko aliko, labda anahusiana na mtu mwingine.

Mwanamke huyu si wa kumuamini kabisa, ila mimi nimenyooka sana. Suala la kupiga mademu halipo kabisa kwangu kwa sasa.

Yeye yupo Mwanza, na mimi nipo Tanga. Sasa, je, haya ni mapenzi au kudanganyana tu? Ninajikuta nikihangaika kuelewa maana ya uhusiano wetu. Ikumbukwe kwamba mwanamke mwenyewe ndiye aliyenitafuta na kuniambia kuwa ananipenda.

Kwa kuona heshima hiyo, sikuona sababu ya kumkataa, lakini sasa najikuta na maswali mengi kuhusu uaminifu wake na mustakabali wa uhusiano wetu.

Naomba ushauri. 🙏
Hata akitmbw ni nyege tuu, upendo wote uko kwako.
Mwanamke anakutoroka chumbani anaenda kuinamishwa kichakani na anarudi yuko vizuri tuu Sasa kwanini uwe na hofu akiwa mbali?
Wewe tulia kama ulivyosema ila wahi tuu kumuoa.
 
A
Hata akitmbw ni nyege tuu, upendo wote uko kwako.
Mwanamke anakutoroka chumbani anaenda kuinamishwa kichakani na anarudi yuko vizuri tuu Sasa kwanini uwe na hofu akiwa mbali?
Wewe tulia kama ulivyosema ila wahi tuu kumuoa.
hsante
 
Nahitaji ushauri kuhusu jinsi ya kuishi na mpenzi aliye mbali (distance love). Kiukweli, naona kama tunadanganyana tu. Kila mara ni "nakupenda, nakupenda," lakini mimi ninahisi hali ni tofauti, kwamba huko aliko, labda anahusiana na mtu mwingine.

Mwanamke huyu si wa kumuamini kabisa, ila mimi nimenyooka sana. Suala la kupiga mademu halipo kabisa kwangu kwa sasa.

Yeye yupo Mwanza, na mimi nipo Tanga. Sasa, je, haya ni mapenzi au kudanganyana tu? Ninajikuta nikihangaika kuelewa maana ya uhusiano wetu. Ikumbukwe kwamba mwanamke mwenyewe ndiye aliyenitafuta na kuniambia kuwa ananipenda.

Kwa kuona heshima hiyo, sikuona sababu ya kumkataa, lakini sasa najikuta na maswali mengi kuhusu uaminifu wake na mustakabali wa uhusiano wetu.

Naomba ushauri. 🙏
Muoe mkae naye tanga. Acha kulalamika.
 
Back
Top Bottom