yeyote anayejua lugha ya mawasiliano katika interviews za utumishianihabarishe.

yeyote anayejua lugha ya mawasiliano katika interviews za utumishianihabarishe.

pebo da great

Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
20
Reaction score
1
wana jf habari zenu. Tafadhali kwa yeyote anayejua ni lugha gani inatumika katika interviews za utumishi naomba msaada. Na la pili kama kuna yoyote mwenye idea na written za utumishi pia asisite kunijuza.
Asanteni sana
 
english...afu kuwa specific written interview ya course ipi?
 
Back
Top Bottom