barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ni mara 2 tu. Epl era!Man UTD imefanya hvo zaid ya Mara moja (98/99 99/00 00/01) (06/07 07/08 08/09)View attachment 1305462
Sent using Jamii Forums mobile app
Adama Traore ni MTU hatari sana.Wolves amezidi kututengeneza njia Wana YNWA...
Poleni mashadiki man U,Chelsea,Arsenal na wote mliojificha kwenye kivuli Cha Mancity
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza povu, sijasema mess hana uwezo, ninachosema Mess nje ya barca ni mchezaji ambaye athali zake ni ndogo, Ndio maana nikakupa mfano akiwa timu ya Taifa ambako Mess anakua nje ya Barca uwezo wake unapungua yaani ata ma beki wa Bolivia au Venezuela wana mzuia bila shida yoyote.Wewe ulitakiwa useme EPL hakuna vipaji vya kucheza na Messi, hivyo Messi kuja kucheza EPL ni kuji-undermine uwezo wake,huko EPL kwenye mpira kazikazi mbona anazifunga timu zao kila wanapokutana, Ebu nitajie timu ngumu ya EPL Messi hajawahi ifunga kama kweli Messi hawezi cheza EPL ??
Lakini kwakuwa ww ni fan wa MAN U na Messi ni vitu viwili tofauti [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Man UTD imefanya hvo zaid ya Mara moja (98/99 99/00 00/01) (06/07 07/08 08/09)View attachment 1305462
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo Messi unamuongelea wa Shitimbi au?Punguza povu, sijasema mess hana uwezo, ninachosema Mess nje ya barca ni mchezaji ambaye athali zake ni ndogo, Ndio maana nikakupa mfano akiwa timu ya Taifa ambako Mess anakua nje ya Barca uwezo wake unapungua yaani ata ma beki wa Bolivia au Venezuela wana mzuia bila shida yoyote.
Ata ikitokea Mess akaja na Timu yake ya Taifa ya Argentina kucheza na Timu yetu ya Taifa basi Beki wa Stars mfano Mwamnyeto anaweza akamzibiti Mess na asifurukute. Mess ni wa Barca tu na mwenyewe Mess analijua ilo, Siku akiondoka Barca ndio siku mpira wake wa maajabu unaishia pale. Uko anako kwenda atakua kama Fillimino au Rashford.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kale ka Webb(refaree)...na Babu yao Fergie alikua anaogopwa kweli
#YNWAWolves amezidi kututengeneza njia Wana YNWA...
Poleni mashadiki man U,Chelsea,Arsenal na wote mliojificha kwenye kivuli Cha Mancity
Sent using Jamii Forums mobile app
👊👊👊
Wewe ulitakiwa useme EPL hakuna vipaji vya kucheza na Messi, hivyo Messi kuja kucheza EPL ni kuji-undermine uwezo wake,huko EPL kwenye mpira kazikazi mbona anazifunga timu zao kila wanapokutana, Ebu nitajie timu ngumu ya EPL Messi hajawahi ifunga kama kweli Messi hawezi cheza EPL ??
Lakini kwakuwa ww ni fan wa MAN U na Messi ni vitu viwili tofauti [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu unalosema, lakini kwa ishu ya Ronaldo naona yeye yupo kwenye Diminishing return, hawezi kucheza kama zamani, umri umemuacha japo bado ni mchezaji mzuri.Ronaldo amefunga Juventus Giant wa Seria A ila Leo yupo anakimbizwa tu na akina Lukaku,uwezo wa mchezaji ktk ligi Fulani hupimwa akiwa ktk ile ligi na si vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna timu ya kucheza mchezaji wa kiwango cha Messi EPL,Mchezaj wa dunia acheze EPL ???? ilitokea kwa Ronaldo tu mwaka uliofata akaenda kwenye timu ya uwezo wake [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kun timu imewahi beba epl ara 3 mfululizo.
It makes sense.
Nani kasema kacheza msimu mmoja ?? Akili kisoda Huwezi kuelewa .Ronaldo alicheza msimu mmoja EPL?? Mbona unatumia tundu kufikiri??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usirudie tena kumfananisha Messi na ujinga. Hizo timu zote kubwa hapo EPL amezitungua.Mess ni mchezaji aliye zaliwa kwa kuitumikia Barca pekee, nje ya Barca messi hana hatari ya kutisha, vile unavyomuona akihangaika akiwa na Argentina yenye vipaji Lukuki ndio tafsiri halisi ya Mess nje ya Barca. Sio Mess tu wachezaji wengi wa Amerika ya kusini wanapata tabu sana wakijiunga na klabu za EPL. EPL ni soka la Nguvu na kasi. Kikubwa Marefa hawana muda wa kuwalinda wachezaji flaniflani ni soka la shoka na ubabe ni Direct football. Mess ata umwambie utamlipa paun million ishirin kwa mwaka hawezi kubali kwenda ku aibika EPL.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo Messi unamuongelea wa Shitimbi au?
Ni huyu ambaye unasema Hana kitu timu ya taifa lakini aliibuka mchezaji Bora kombe la dunia?
Tatizo la timu linaweza baki kwa timu nzima...Mbona Samatta hakiwashi bongo?
Team kama Argentina inakosa myunganiko wa kitimu...Mbona kina Angel di Maria na Aguero wanasanda vile vile
And because jamaa Ni fundi,ndo maana hamuachi kumuongelea....humu kwenye uzi Wala Messi hajatajwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kale ka Webb(refaree)...na Babu yao Fergie alikua anaogopwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ame conquer kwa lipiWajiulize swali moja tu, kama Mo Salah kaweza kui-conquer EPL, ndio King Messi ashindwe? He will do it majestically in a cold rainy night against any kung-fu like tackling sides from EPL
Sent using Jamii Forums mobile app