Kuna Tetesi kuwa baadhi ya wanaJF walikumbwa na matatizo ya mabomu, yaliyolipuka week iliyopita...mmoja wapo ni Yo Yo akiwa kwake Kinyerezi bomu liliangukia miguu yake na sasa anaendelea na matibabu Amana...mwenye taarifa za Yo Yo tafadhali....ama Mod Mumemfungia kimya kimya
Masa & Bellies
Kuna Tetesi kuwa baadhi ya wanaJF walikumbwa na matatizo ya mabomu, yaliyolipuka week iliyopita...mmoja wapo ni Yo Yo akiwa kwake Kinyerezi bomu liliangukia miguu yake na sasa anaendelea na matibabu Amana...mwenye taarifa za Yo Yo tafadhali....ama Mod Mumemfungia kimya kimya
Masa & Bellies
Mmh! Masihara kwenye utani...lol!Kuna Tetesi kuwa baadhi ya wanaJF walikumbwa na matatizo ya mabomu, yaliyolipuka week iliyopita...mmoja wapo ni Yo Yo akiwa kwake Kinyerezi bomu liliangukia miguu yake na sasa anaendelea na matibabu Amana...mwenye taarifa za Yo Yo tafadhali....ama Mod Mumemfungia kimya kimya
Masa & Bellies
shem nipo still kicking...vile vijibomu haviwezi kunipata mie niko busy shem na 2010 huu ndio wakati kuanza kuzungukia vijijini....Kuna Tetesi kuwa baadhi ya wanaJF walikumbwa na matatizo ya mabomu, yaliyolipuka week iliyopita...mmoja wapo ni Yo Yo akiwa kwake Kinyerezi bomu liliangukia miguu yake na sasa anaendelea na matibabu Amana...mwenye taarifa za Yo Yo tafadhali....ama Mod Mumemfungia kimya kimya
Masa & Bellies
shem nipo still kicking...vile vijibomu haviwezi kunipata mie niko busy shem na 2010 huu ndio wakati kuanza kuzungukia vijijini....
Hahahah mzee unagwa Tshirts na makapelo? ama unatafuta mgombea mwenza wa goal ya 2010...angalia wanatengeza bikira huko pia....!