Yo Yo Mhanga wa Mabomu

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
Kuna Tetesi kuwa baadhi ya wanaJF walikumbwa na matatizo ya mabomu, yaliyolipuka week iliyopita...mmoja wapo ni Yo Yo akiwa kwake Kinyerezi bomu liliangukia miguu yake na sasa anaendelea na matibabu Amana...mwenye taarifa za Yo Yo tafadhali....ama Mod Mumemfungia kimya kimya

Masa & Bellies
 


Shughuli ipo! wow...i like yor signature...

And pole Yo yo hope all is well jamani...sasa mguu umekatika au?...kabla hujafa hujaumbika mweeh amekatwa na mguu....ndiyo disabled tena.Nenda kawa -sue
 

Masa hebu fanya utafiti tuachane na tetesi hizi au undugu wenu na yo yo umekufa kwa kumnyatia shem wake Bellies?
 
Mmh! Masihara kwenye utani...lol!
 
shem nipo still kicking...vile vijibomu haviwezi kunipata mie niko busy shem na 2010 huu ndio wakati kuanza kuzungukia vijijini....
 
shem nipo still kicking...vile vijibomu haviwezi kunipata mie niko busy shem na 2010 huu ndio wakati kuanza kuzungukia vijijini....

Hahahah mzee unagwa Tshirts na makapelo? ama unatafuta mgombea mwenza wa goal ya 2010...angalia wanatengeza bikira huko pia....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…