Yo Yo ntakudai

Yo Yo ntakudai

zomba

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2007
Posts
17,240
Reaction score
3,930




Yo Yo hii avatar yako inanitesa, kila nnaposoma post zako, mjukuu wangu, ambae anapenda kukaa na mimi nnapokuwa jamvini, huanza kutaka kumkamata huyo ''dudu'', kisha chafuwa sana ka laptop kangu (kwa udenda uliochanganyika na kuti'' (biskuti)) alichonitunukia babake (mwanangu).

''babu dudu, dudu'', toka nilikuwa nacheka mpaka sasa naona hicho kidudu kitanitia damage. Halafu cha kushangaza, hata akiwa mbali anakiona! anakuja mbio kutaka kukikamata.

Any damage to my laptop kutokana na madenda na ''kuti'', bill comes to you Yo Yo.
 




Yo Yo hii avatar yako inanitesa, kila nnaposoma post zako, mjukuu wangu, ambae anapenda kukaa na mimi nnapokuwa jamvini, huanza kutaka kumkamata huyo ''dudu'', kisha chafuwa sana ka laptop kangu (kwa udenda uliochanganyika na kuti'' (biskuti)) alichonitunukia babake (mwanangu).

''babu dudu, dudu'', toka nilikuwa nacheka mpaka sasa naona hicho kidudu kitanitia damage. Halafu cha kushangaza, hata akiwa mbali anakiona! anakuja mbio kutaka kukikamata.

Any damage to my laptop kutokana na madenda na ''kuti'', bill comes to you Yo Yo.

Hiyo ndio raha ya kuwa na wajukuu wadadisi...! Hope hatakuwa kama babu yake...! lol!
 





Yo Yo hii avatar yako inanitesa, kila nnaposoma post zako, mjukuu wangu, ambae anapenda kukaa na mimi nnapokuwa jamvini, huanza kutaka kumkamata huyo ''dudu'', kisha chafuwa sana ka laptop kangu (kwa udenda uliochanganyika na kuti'' (biskuti)) alichonitunukia babake (mwanangu).

''babu dudu, dudu'', toka nilikuwa nacheka mpaka sasa naona hicho kidudu kitanitia damage. Halafu cha kushangaza, hata akiwa mbali anakiona! anakuja mbio kutaka kukikamata.

Any damage to my laptop kutokana na madenda na ''kuti'', bill comes to you Yo Yo.
Huyo mjukuu wako atakuja kuwa m-zoologist!
 




Yo Yo hii avatar yako inanitesa, kila nnaposoma post zako, mjukuu wangu, ambae anapenda kukaa na mimi nnapokuwa jamvini, huanza kutaka kumkamata huyo ''dudu'', kisha chafuwa sana ka laptop kangu (kwa udenda uliochanganyika na kuti'' (biskuti)) alichonitunukia babake (mwanangu).

''babu dudu, dudu'', toka nilikuwa nacheka mpaka sasa naona hicho kidudu kitanitia damage. Halafu cha kushangaza, hata akiwa mbali anakiona! anakuja mbio kutaka kukikamata.

Any damage to my laptop kutokana na madenda na ''kuti'', bill comes to you Yo Yo.

Huyo kijana wako sasa ukienda kule jukwaa la kikubwa napo anafanyaje?
 
Sio mjukuu tu wenzangu. Unajuwa wakati mwengine unakuwa very busy mara site hii mara nyengine at the same time upo unatizama television. Musinicheke lakini ni kweli hata mimi huwa napangusa screen nikidhani eti kuna kamdudu kanatembea kwa screen ya laptop yangu.

Pengine utu uzima huo. Hunifanya ni smile kila ninapo jaribu kumpangusa kadudu hako. Ni Avitar poa kabisa.
 
Ila wewe yo yo...haka ka mdudu ni balaa...yaani unaweza kuwa busy ukafikiri sasa nini hiki kwenye screen....ubunifu
 
Back
Top Bottom