Walcot, Pele walikwenda world cup wakiwa 17, acha dogo akapate uzoefu! Actually ndivyo itakiwavyo, kwenye kila position inatakiwa kuwe na first teamer, msaidizi na kijana anayechipukiaAman iwe nanyi wapendwa
Yule mtoto serenget boy ameitwa na kocha mayanja kujiandaa na mchezo wa kuivaa benin utakaopigwa tarehe 11
Kijana huyo mwenye miaka 17 sizan kama atafurukuta mbele ya wanaume wenye miraba minne
Mayanja umekosea sana kumuita huyu dogo
LONDON BABY
timu gani ya taifa inayofundishwa na mayanja au umesoma haraka haraka. Nadhani humjui Beira Baby Boydogo anajua sana! anaweza kukontro na kutulia hata ndani ya 18! Nadhan anakwenda kuondoa gundu kwenye safu ya ushambuliaji timu ya taifa.
Ngoja uitwe weweAman iwe nanyi wapendwa
Yule mtoto serenget boy ameitwa na kocha mayanja kujiandaa na mchezo wa kuivaa benin utakaopigwa tarehe 11
Kijana huyo mwenye miaka 17 sizan kama atafurukuta mbele ya wanaume wenye miraba minne
Mayanja umekosea sana kumuita huyu dogo
LONDON BABY