TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Mkuu unasema tu wewe kama hakukuni vizuri si utamtega hata muokota makopo akukune ndio hapo sasa kasheshe litaanza
Sababu ziko nyingi
 
Mhhh akajiue Guest?
 
Mkuu mimi mwakajana kuna demu alinifanya vibaya pia we acha sio siri mpaka leo hatusalimiani na tupo majirani
Kuna mmama moja kanisaidia sana kwa mawazo namuheshimu sana huyo mama mpaka sasa kawa best yangu sana

Mdada alikua ananisema vibaya sana
Mbaya zaidi kujua kila kitu na bwana wake huyo

Karibu nijitoe roho
Kula hakuliki furaha ilipotea
Ukiniangalia kama mgonjwa
Nini Mapenzi
Da wewe acha
Simalizagi maneno
 
Ni miaka imebadilika, mtu akijinyonga hatakiwa kuingizwa ndani,
wala kuombewa;
pengine ni hawa watumishi wa miaka hii wanaopenda kulipwa sijui.
 
Pole sana Mkuu!
Utàmu wa mapenzi kinyume chake ni uchungu mkali sana!
Tupate watu wakutushauri kabla ya kuchukua maamuzi !
 
Thankx a lot comrade [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Mh huenda ni ishu ya assassination eti? Niseme tu sie binadamu tumefungwa mambo mengi sana, hapa tunalaumu tu ila huenda kuna watu wakisoma hii sredi wanacheka tu the deal was done successfully!

Maana tumeingizwa na miguu yote Mia dadeki
Inawezekana
Never negotiate with human mind
 
...mmmh watu mko deep hatari [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mapenzi kitu cha ajabu kabisa.. huyu mwanamke mimi akinipa hata na hela simchukui... mbovu na hapo rangi kiasi imemsaidia.... ni mbovu hasa. anyway.."kimfaacho mtu chake"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...wenzako wana usemi "gari bovu but linanifikisha town hata kama kwa shidashida"
 
Rest In Peace Yona F. Maro ulitoka kwenye ubachelor ukaingia kwenye ndoa yenye majanga na yakakuzidia hadi ukaamua kujiua tena guest house, mwaka na kitu umeisha ukiwa kaburini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…