Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
Nsango te! Limbisa ngai, ozali wapi?malamu,,,, nsango nini???
Mkuu Dally Kimoko anatisha ,sikiliza Bilalala-Pepe Kalle, Kin Night au Nairobi Night.
c utani by that tyme ......
Mkuu ni African Ball au Extra Ball ambapo guitar limepigwa na Diblo hata amebadilisha guitar mara nyingi. Pia nakumbuka hata Isabelle pia amepiga Diblo. Kusema ukweli hizi Bongo fleva zimakuja kuondoa raha ya Jiji, upuuzi mtupu. Hebu jiridhishe, hii miaka late 80s na mapema 90 nakumbuka vema. Dar ilikuwa raha kipindi hicho siyo karaha kama sasa. Cheki data zako vizuri mkuu. Nadhani Kimoko mamefanya balaa kwenye Embargo, Loketo &Aurlus Mabele au?African Ball, wimbo wa Loketho Group chini ya Aurlus Mabele, gitaa alilopiga Dally Kimoko alibadilisha mipigo mara33, mipigo na beats tofauti zote 33 zikiwa kali na hazifanani. Kiukweli Dally Kimoko anasifika kwa kupiga mpini(gitaa). Tumia You tube au kama una CD-VCD-DVD cheza huo wimbo -African Ball- Loketho Group& Aurlus Mabele halafu sikiliza kwa makini mipini ni hatari.
African Ball, wimbo wa Loketho Group chini ya Aurlus Mabele, gitaa alilopiga Dally Kimoko alibadilisha mipigo mara33, mipigo na beats tofauti zote 33 zikiwa kali na hazifanani. Kiukweli Dally Kimoko anasifika kwa kupiga mpini(gitaa). Tumia You tube au kama una CD-VCD-DVD cheza huo wimbo -African Ball- Loketho Group& Aurlus Mabele halafu sikiliza kwa makini mipini ni hatari.
malamu,,,, nsango nini???
????? nazali kosekasherii asansio na motema, okakende papaa pesa mingi,wapi bilengi ya lelo?
Nsango te! Limbisa ngai, ozali wapi?
Hahaha!
Kweli tupu jamani.
Mwanae tunakaa nae hapa Manyanya mtaa wa Mateja, Wibu nyumba no. 216.
Na mosala? Tikala malamu!Na kati ya bujumbura,,,nakeyi!!!!!!!
sherii asansio na motema, okakende papaa pesa mingi,wapi bilengi ya lelo?
Hahahah, nduu/mamaya nsango kitoko!Mobali Nalingi'...... te ooooh.
Nsango te! Limbisa ngai, ozali wapi?
Na mosala? Tikala malamu!
kaka chaza we mkali unaweza kunipa historia kamil mkuu?
Sijakusoma vizuri,historia ya Music wa dansi Tanzania au Congo?
Tembelea kimboka ucku utamkuta kazin kwake.
kumbe opareshen kimbunga inawahusu wengi!!!
kweli mkuu hata mimi nakumbuka.ni enzi zetu zileee za kudanganyana.thanks to whoever invented google....ila mimi napenda kujua alipo mwanamziki GATO.ilivumishwa miaka ile eti alikutwa na madawa ya kulevya na akafungwa.nam google ila info zake ni kama hazipo.
historia ya yondo sister mkuu