Ma Papa/Matapeli wa kwenye soccer letu la bongo kwa sasa wananyea debe, nina Imani kuna siku hata hawa Ma papa wa kwenye music wetu watakuja juta.... Maana Fella na Huyu Babu Tale tale ni unyonyaji na dhuluma tu kwa wasanii wetu.. Fella kawatumia kina Yamoto Band and kawaacha njia panda kama yatima vile
hivi hela zinaokotwa mpaka ulipie watu madeni yao.. wewe ukiwa na kampuni yako.. utaruhusu wafanyakazi wako wakope ovyo ovyo halafu madeni uyalipe wewe...
staff wa voda akakope na asilipe.. voda imlipie madeni kweli??
kila mtu apambane na hali yake... wakati wa kuzitumia hukunishirikisha ila wa kulipa nikulipie
Mbona analia hadi makamasi mahakamani kujitetea milioni 5 ya kumlea mwanae kwa mwezi? Hahaha mtoto wa Tandale ukaige maisha ya kina Jayz lazima utoke manundu