You are not stuck in traffic, you are the traffic

You are not stuck in traffic, you are the traffic

Son.j

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
1,010
Reaction score
2,356
planet is more safe if we do not exist
2796617_es831zacvhe41.jpg
foleni-dar.jpg


FB_IMG_16227292515158334.jpg


es831zacvhe41.jpg
 
Wanaosema maendeleo ni kuwa na magari kibao kila mtu yake, wanakosea sana. Nadhani sasa tunaona first hand umuhimu wa kila mtu kuwa na space yake ya kutosha kuleeee mahali instead of kujirundika wooote mijini & majijini na kuishia kuwa chambo na wahanga wa wanasiasa hewa, wachuuzi & wafanyabiashara walafi, majambazi katili, vibaka wenye njaa na hasira ya kukosea gia ya mpando wa maisha, kelele zisizokoma za magari, boda zenye eksozi pana, na hata madai ya malipo kwa upande wa wenye nyumba & pango, vurugu, fujo na ghasia nenda rudi, uchafuzi wa mazingira uliokithiri, matrafiki officers wasiokuwa na weledi wala maadili, Tìiaraei wapigaji pamoja na unyemelezi mkubwa wa magonjwa na maambukizi hatari kama vile korona au ^U-key-mwi^ plus mengine mengi kama hili la kutafuta ajira iliyojaa tumbuatumbua holela na isiyo na mantiki aifanyayo Bi Mkubwa. Au nasema uongo ndugu zangu!???
 
Ndio maana kuna nchi vimeenda mbali zaid had wameamua kutoa usafiri wa umma kuwa bure ili kumshawishi watu kupunguza matumiz ya gari zao pasipokuwa na ulazima
 
Ndio maana kuna nchi vimeenda mbali zaid had wameamua kutoa usafiri wa umma kuwa bure ili kumshawishi watu kupunguza matumiz ya gari zao pasipokuwa na ulazima
Mfano ni Sweeden
 
Si kweli, Sweden public transport unalipia, either unatumia bus card yako ambayo umeilipia kabisa na hela ikiisha lazima uweke tena au utalipa kwa card yako ya bank!
Ndio nlichanganya.usafiri wa Bure upo Luxemburg.
 
Imeeleweka sana... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom