Wanaosema maendeleo ni kuwa na magari kibao kila mtu yake, wanakosea sana. Nadhani sasa tunaona first hand umuhimu wa kila mtu kuwa na space yake ya kutosha kuleeee mahali instead of kujirundika wooote mijini & majijini na kuishia kuwa chambo na wahanga wa wanasiasa hewa, wachuuzi & wafanyabiashara walafi, majambazi katili, vibaka wenye njaa na hasira ya kukosea gia ya mpando wa maisha, kelele zisizokoma za magari, boda zenye eksozi pana, na hata madai ya malipo kwa upande wa wenye nyumba & pango, vurugu, fujo na ghasia nenda rudi, uchafuzi wa mazingira uliokithiri, matrafiki officers wasiokuwa na weledi wala maadili, Tìiaraei wapigaji pamoja na unyemelezi mkubwa wa magonjwa na maambukizi hatari kama vile korona au ^U-key-mwi^ plus mengine mengi kama hili la kutafuta ajira iliyojaa tumbuatumbua holela na isiyo na mantiki aifanyayo Bi Mkubwa. Au nasema uongo ndugu zangu!???