You become what you study

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
Hakuna kazi kubwa duniani kama kufikiri kutokana na ugumu wa kazi hii watu wachache hutumia brain zao kufikiri kwa niaba ya watu wengine. The Nobel Prize winning physcist Albert Eastern.The best thinker who ever lives alisema"Think is hard work,that's way few do it".

Kwa kuwa watu wengi hawapendi kufikiri basi hupata maarifa kwa kusoma mawazo ya wengine ambao walizitumia akili zao vizuri.Hivyo ulivyo ni zao la kile ulichokisoma kama ulisoma upishi utakuwa mpishi,kama ulisomea udaktari you become a doctor.n.k.

Namna tunavyofikiri ni zao la kile tulichokisoma.Wengi wanafanyia kazi mawazo ya watu wengine. Kwa kuliona hili ndo maana watu kama Thomas Edison founder of general electric, Henry Ford founder of Ford Motor, Ted Turner founder of CNN, Michael Dell founder of Dell computer na wangine wengi waliamuwa ku drop college walipogunduwa wanasoma kitu ambacho hakitawasaidia katika kufikiri kwao.

So kuwa makini kwa kile unachokiingiza katika ubongo kwa maana ubongo una tabia ya kushika haraka.
 
Kwahiyo tufanyeje in order to become more than what we study?
 
Kwani mleta mada unafanyia kazi fikra ya nani leo?, usiniambie huu uzi ni mawazo yako [emoji3]
 
Mi nlijua utakuja hapa kutuambia in ur life umefikia wapi na changamoto zako. Another wasted thread.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…