You can change your situation if you are determined. This is so unbelievable! May God bless her

Hakuna linaloshindikana mbele ya ukwasi wataalamu na Teknolojia...Long Live MD's afya zetu zipo mikononi mwenu.
 
Nooo way! I'm sure surgery imehusika hapo au madawa.





Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Bila shaka huyu alianza kugegedwa baada ya kupungua [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwamba huu mwili ulikuwa ni kwasababu ya menyu?
Nilishafunga siku tatu mfukulizo yaani nikikuwa kwenye maombi ya nguvu kwa masaa 72. Nilipoteza kilo lakini ubongo ulikuwa unanipa tahadhari ya njaa kila nikiona chakula.
 
Nilishafunga siku tatu mfukulizo yaani nikikuwa kwenye maombi ya nguvu kwa masaa 72. Nilipoteza kilo lakini ubongo ulikuwa unanipa tahadhari ya njaa kila nikiona chakula.

Nakubaliana na diet na kufunga, lakini si kwa mwili huu.

Huu ni ugonjwa si wa kupona kwa kutokula.
 
Mimi na mimi nimenenepa, najitahidi nipungue sipungui, napunguza mbili naongeza nne 🤣 🤣 🤣 🤣 ila ku loose kiasi alicho lose yeye kwa diet peke yake na mazoezi hapana, kisu kimepita hapo..
 
Nakubaliana na diet na kufunga, lakini si kwa mwili huu.

Huu ni ugonjwa si wa kupona kwa kutokula.
Ni team ya madaktari na ma dietitians walimuwekea mfumo wa kufuata kuanzia chakula chenye low calorie, ilimchukua mwaka mmoja.

Ulishasikia keto diet?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…