You can not jail him first and hear him later!

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Maamuzi ya mahakama leo ni fundisho kwa watu wanaoshabikia bila kufikiri, ni fundisho kwa watu kama kina yericko nyerere kwamba ni busara kufikiri na sio kukurupuka tu.

Si nia yangu hata chembe kumtetea zitto, lakini pia nitakua mnafiki nikisema ninaelewa wanachojaribu kufanya viongozi wa chadema. tofauti na yericko na wenzake, nitakua mtu wa mwisho kushabikia vitu visivyoeleweka.

huwa nasikia watu huamua kukaa na risasi mwilini kwa sababu kwa eneo hiyo risasi ipo kama wakijaribu kuitoa itamaanisha hao watu kufa, kama tumeishi na zitto toka yuko 16 sijui ni busara ipi inatuambia tumng'oe leo, tena kwa style inayoua chama.

Na siku hizi kuna fallacy kwamba mtu hana akili hadi akubaliane na kila wanachosema viongozi na mashabiki wa CDM

FIKIRI!
 
Nadhan ilikua ni changamoto ya kujenga upinzan imara nchini....ni muda wa pande mbili zote (chama na zito) zijaribu kuona namna ya kumaliza ili tatizo kwa upande wa chama ijifunze kusulihisha matatizo yake vzuri na zitto apunguze dharau kwa viongozi n aanze upya kazi ya kukijenga chama bdala ya kufanya na kufkiria mambo binafsi...
Yote ni kwa ujenzi wa taifa letu
 

Lile baraza la wazee linafanya kazi gani?.....au lilikufa baada ya Mzee Makani kufariki. Au nao ni wasaliti kama Zitto?
 
Lile baraza la wazee linafanya kazi gani?.....au lilikufa baada ya Mzee Makani kufariki. Au nao ni wasaliti kama Zitto?
Lipo...nadhan kamati kuu ilifanya ilichokiona sahihi ndo maana yakatokea yaliyotokea
 
Lipo...nadhan kamati kuu ilifanya ilichokiona sahihi ndo maana yakatokea yaliyotokea

Ilipofuka na kulidharau baraza la wazee mkuu...Yaani Lissu na umaarufu wake wote wa sheria hakujua kuwa huwezi ukamfunga mtu kisha ukataka akate rufaa kwako wewe mwenyewe?!!
Hili liwe somo.
 
MNAFIKI , MSALITI asisamehewe......
 
umenikuna sana Comrade yaani umeisafisha sana roho yangu daaa umeongea mambo makubwa sana......wewe umeona mbali sana naomba niongezee maneno haya kidogo "ni upuuzi kumpatia mtu haki ya kusikilizwa baada ya kupona majeraha ya kutokusikilizwa " asante sana uswe kunipa nafasi.......nitaitunza milele hii article yako
 
ngoma bao mbichi kwa mtazamo wangu zitto anashabikiwa mitaani ndani ya chama hana watetezi baada ya mkumbo na wenzake kutupwa waliobaki wanaogopa ,na tuelewe rulling ya leo ilikuwa inaongelea kuhusu kutojadiliwa uanachame wake pending baraza kuu,unadhani atapona kwenye baraza kuu,process zitafuatwa na atatoswa tu kwa mujibu wa katiba,hakuna katiba ya chama chochote duniani ambayo inampa mtu uanachama wa maisha ,zitto kuendelea kubaki chadema ni ngumu aliharibu alipokuwa anazunguka mikoani wakati alipovuliwa nyadhifa angetulia tuli kule kwake tabata yeye kazunguka mikoani ,kwenye maredio na mablog kutafuta sympath ya watu hilo limemponza waklahi hawatomuacha
tusubiri tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…