Hehe..hawa jamaa noma aisee!
Wale wa St.Joseph ambao bado hawajapata hizi nakala chukua then.
:amen:
mkuu amani, mimi pia nimechaguliwa hapo kozi ya B.Comp.Science lakini jina langu halipo kwenye orodha yao,nimejaribu kuwasiliana nao wakaniambia watanitumia joining instruction lakini hadi sasa bado sijaipata,kama vipi naomba unitumie kwa email hii johntongo@live.com
with regards.