You want to Bamba Uteuzi Vs Kujiajiri?

You want to Bamba Uteuzi Vs Kujiajiri?

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Vijana tafuteni connection za kisiasa sijui Mambo ya kujiajiri sijui nn. Utasota sana. Ona Vijana wadogo wanakula maisha kwenye AC

3013071_images_11.jpeg
 
Vijana tafuteni connection za kisiasa sijui Mambo ya kujiajiri sijui nn. Utasota sana. Ona Vijana wadogo wanakula maisha kwenye AC

View attachment 2083626
Mr kichwa wazi kama ni mpenda haki siasa/sii hasa Wala huwezi ifikiria, ila kama mpiga Dili, mwizi, fisadi, mwovu, usiyependa zingatia Sheria na taratibu, mwenye weledi wa kikwetu wa kitanzania utachagua sii hasa, na sii kujiajiri na kuwa na akili guru🤔.
 
Back
Top Bottom