First things first.... I MISSED YOU GUYS BAAAD!!!!!! cant even express it.
Dah nimekuta mabadiliko ya JF Chit-Chat (Uhuru wa ku-chat ndani ya thread) na nimeyapenda...
Huko nilikokuwa mambo yalikuwa si mambo... ugomvi is inevitable in any relationship, sasa siku ya siku tuko kwenye ugomvi, huyu heart beat wangu kanitolea kali na statement hii hapa..."I am not boasting, but go anywhere all over the world you will never find my copy"
mmmmhhhh... tulikuwa tunaexchange emails, so ilibidi kwanza nisiijibu...nikawa najiuliza...hivi kuna mtu hapa duniani mwenye copy??? hata kama ana tabia mbaya??? we are all originals, right? Okay, swali la pili, jamani mzuri anatamba na kujisifia??? si anasifiwa?? si mimi ndo natakiwa nimwambie kuwa "I have gone east, west, I havent found any one like you"...na sio kama haambiwi..every second jamani, na anakimwanya flani cha pembeni so huwa napenda kum-tease namwambia mi peke yangu niliwahi nikapata handsome, wengine wote walichelewa... I love to appreciate him...sasa hii yote inatoka wapi??? mmmhhh..kisa kuna kitu mtu kafanya halafu uka-m-confront...wakati yeye hataki kuwa confronted....
Nikautafakari ule wimbo wa P square...No one like you (http://www.youtube.com/watch?v=1_t8tBrZuqo&feature=related)... inabidi basi ubadilishwe uwe..."NO ONE LIKE ME".. kama issue ni kujisifia... watu tujisifie vizuri.
Jamani sasa mapenzi gani ya wewe ukikosea usiulizwe?? just because there is no one like you??? Jamani au mimi nakosea, you aint supposed to confront a man?? maana iwe kwa upole, kwa ukali, kwa tabasamu, kwa hasira, yani hupati majibu...
Dah nimekuta mabadiliko ya JF Chit-Chat (Uhuru wa ku-chat ndani ya thread) na nimeyapenda...
Huko nilikokuwa mambo yalikuwa si mambo... ugomvi is inevitable in any relationship, sasa siku ya siku tuko kwenye ugomvi, huyu heart beat wangu kanitolea kali na statement hii hapa..."I am not boasting, but go anywhere all over the world you will never find my copy"
mmmmhhhh... tulikuwa tunaexchange emails, so ilibidi kwanza nisiijibu...nikawa najiuliza...hivi kuna mtu hapa duniani mwenye copy??? hata kama ana tabia mbaya??? we are all originals, right? Okay, swali la pili, jamani mzuri anatamba na kujisifia??? si anasifiwa?? si mimi ndo natakiwa nimwambie kuwa "I have gone east, west, I havent found any one like you"...na sio kama haambiwi..every second jamani, na anakimwanya flani cha pembeni so huwa napenda kum-tease namwambia mi peke yangu niliwahi nikapata handsome, wengine wote walichelewa... I love to appreciate him...sasa hii yote inatoka wapi??? mmmhhh..kisa kuna kitu mtu kafanya halafu uka-m-confront...wakati yeye hataki kuwa confronted....
Nikautafakari ule wimbo wa P square...No one like you (http://www.youtube.com/watch?v=1_t8tBrZuqo&feature=related)... inabidi basi ubadilishwe uwe..."NO ONE LIKE ME".. kama issue ni kujisifia... watu tujisifie vizuri.
Jamani sasa mapenzi gani ya wewe ukikosea usiulizwe?? just because there is no one like you??? Jamani au mimi nakosea, you aint supposed to confront a man?? maana iwe kwa upole, kwa ukali, kwa tabasamu, kwa hasira, yani hupati majibu...