Young Africa

Young Africa

Ndoa

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
1,033
Reaction score
254
Watu wengi hasa watangazaji wa redio na TV wamezoea kuitaja timu ya YANGA kama Young Africa badala ya Young Africans. Ijulikane kuwa Africa ni bara na Africans ni waafrika. Wanapoitaja timu ya YANGA kama Young Africa wanapotosha maana.
 
Watu wengi hasa watangazaji wa redio na TV wamezoea kuitaja timu ya YANGA kama Young Africa badala ya Young Africans. Ijulikane kuwa Africa ni bara na Africans ni waafrika. Wanapoitaja timu ya YANGA kama Young Africa wanapotosha maana.
Watangazaji wetu bado ufanisi wao ni mdogo, hata ukisikiza wajkati wanatangaza maneno kama 'nadhani' huwa ni mengi sana, kitu ambacho ni mwiko kwenye uandishi wa habari.

Kosa kama hilo ni dogo miongoni mwa mengi, siku ambayo taaluma itaheshimiwa badala ya sura haya yote yatakwisha mkuu...
 
Back
Top Bottom