Young African imekuwa tishio kutokana na uongozi imara. Simba jifunzeni kwao

Young African imekuwa tishio kutokana na uongozi imara. Simba jifunzeni kwao

Mwalihehe

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
426
Reaction score
888
Hongera sana Young African kwa kiwango bora na chakushangaza. Hakika hakuna timu ya kuifunga Yanga hapa Tanzania. Hatua hii ni kutokana na uongozi imara usio na tamaa. Simba S.C sio kwa ubaya ila yafaa mjiulize na kujifunza kwao kwani kujiuliza kwa aliyefanikiwa sio vibaya.

NB: Young African S.C na Simba S.C yote twasema lakini tunahitaji kombe la Club Bingwa na Shirikisho, hivyo vikosi vyenu viamarishwe na wachezaji wajue lengo hilo.

Mtindo wa kukosa magori kizembe na kupoteza nafasi kizembe hatutaki. Maana kwa ligi ya NBC nyinyi ni wababe, sasa muda umefika wa kuonyesha ubabe Africa.

Nawatakia kila jema timu zote zinazoshiriki kimataifa.
 
Majina yote yatajwe, ila hatutaki visingizio tena, tunataka kombe la kimataifa (Club bingwa na Shirikisho) full stop
 
yangawenyewe kwenye sikuyao walitaka kufungwa wamshukuru refa

natambua klabu bingwa hakunarefa wakibongo 🤣🤣🤣🤣wafukia mashimo kanyaga twende nishapewa kibunda

kama refa tunashindwa kutoa sembuse timu

Sisi tutambiane kamahivi Simba na yanga basi
 
Back
Top Bottom