Young African inaweza kucheza Kombe la Shirikisho

Young African inaweza kucheza Kombe la Shirikisho

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Kwema Wakuu,

Utaratibu mpya wa TFF unasema kua endapo mshindi wa Azam Sport Federation Cup maarufu kama FA Cup atakua ndio huyohuyo mshindi wa Vodacom Premier League (Ligi Kuu) basi atakaekua nafasi ya pili VPL ndio ataenda Shirikisho.

Ndio kusema kua kama utaratibu huu ungeanza kutumika mwaka mmoja nyuma basi Yanga ndio angekua anatuwakilisha kimataifa badala ya Namungo. Maana Simba alikua wa Kwanza VPL na FA, na Yanga alikua wa Pili VPL huku Namungo akiwa wa Pili FA.

Sasa kwa kasi ya sasa ya Simba ni wazi kua atabeba vikombe vyote hivi viwili kama mwaka Jana, hakuna wa kuizuia iwe mwaka huu na hata mwakani. Labda Simba wenyewe waamue tu wasibebe kombe mojawapo hasa FA kama ntakavyoleza hapa chini.

Najaribu kupiga hesabu hapa naona zinaibeba Yanga kwenye kombe la Shirikisho. Sababu endapo ikafanikiwa kushika nafasi ya pili kwenye VPL.

Njia pekee ya Yanga kutocheza Kombe la Shirikisho (kucheza Klabu Bingwa hio hawezi) ni endapo atatolewa kombe la FA kisha Simba afungwe (ajifungishe) fainali ya FA. Hapo ni atakaekua bingwa wa FA ndo atakaecheza Shirikisho.

Je Simba atakubali kuliachia hilo kombe ambapo akilishinda itambeba Yanga kama mshindi wa pili VPL??

Kwa hiyo watani zangu hawa wanaweza nao kuanza kupanda ndege kwa nafasi "ya kupewa" hata kama wasipokua washindi wa kombe lolote bila hata ya kusubiri zile nafasi 4 za upendeleo.
 
msimu ujao (2021/2022).. Tanzania itapeleka timu nne kwenye mashindano ya CAF
-2 teams to CAF Champions League
-2 teams to CAF Confederation Cup
By which criteria mkuu
 
By which criteria mkuu

Hapa huwa kuna kigezo cha points
Mpaka sasa nadhani kuna uhakika wa hizo points maana namungo kafuzu kwenda group stage, kwenye shirikisho na simba yuko na simba akienda robo fainali tunafikisha points ambazo zinatupa kigezo cha kupeleka team nne na aliyeko nyuma yetu ambaye ni libya nadhani hataweza kutufikia
 
Kwema Wakuu,

Utaratibu mpya wa TFF unasema kua endapo mshindi wa Azam Sport Federation Cup maarufu kama FA Cup atakua ndio huyohuyo mshindi wa Vodacom Premier League (Ligi Kuu) basi atakaekua nafasi ya pili VPL ndio ataenda Shirikisho.

Ndio kusema kua kama utaratibu huu ungeanza kutumika mwaka mmoja nyuma basi Yanga ndio angekua anatuwakilisha kimataifa badala ya Namungo. Maana Simba alikua wa Kwanza VPL na FA, na Yanga alikua wa Pili VPL huku Namungo akiwa wa Pili FA.

Sasa kwa kasi ya sasa ya Simba ni wazi kua atabeba vikombe vyote hivi viwili kama mwaka Jana, hakuna wa kuizuia iwe mwaka huu na hata mwakani. Labda Simba wenyewe waamue tu wasibebe kombe mojawapo hasa FA kama ntakavyoleza hapa chini.

Najaribu kupiga hesabu hapa naona zinaibeba Yanga kwenye kombe la Shirikisho. Sababu endapo ikafanikiwa kushika nafasi ya pili kwenye VPL.

Njia pekee ya Yanga kutocheza Kombe la Shirikisho (kucheza Klabu Bingwa hio hawezi) ni endapo atatolewa kombe la FA kisha Simba afungwe (ajifungishe) fainali ya FA. Hapo ni atakaekua bingwa wa FA ndo atakaecheza Shirikisho.

Je Simba atakubali kuliachia hilo kombe ambapo akilishinda itambeba Yanga kama mshindi wa pili VPL??

Kwa hiyo watani zangu hawa wanaweza nao kuanza kupanda ndege kwa nafasi "ya kupewa" hata kama wasipokua washindi wa kombe lolote bila hata ya kusubiri zile nafasi 4 za upendeleo.

Aya ya mwisho katika andiko lako kuna makosa. Kupeleka timu nne sio nafasi ya upendeleo, ni ''merit''
 
pia tuendele kuiombea vibaya timu ya libya maana nayo imefuzu hatuwa ya makundi shirikisho hivyo kufanya kwake vizuri kutatupunguzia nafasi
 
156131620_1871495336342806_138833555531050186_o.jpg

Yanga ikumbuke pia kumwamkia "shikamoo" huyu mtoto mzuri
 
Tff wanaweza kufanya hujuma ili fainali iwe simba na uto (kulazimisha uto anapanda ndege) vinginevyo watuachie tumtoe uto mapema na tufungwe fainali
 
Tff wanaweza kufanya hujuma ili fainali iwe simba na uto (kulazimisha uto anapanda ndege) vinginevyo watuachie tumtoe uto mapema na tufungwe fainali
Tff wamebuni utaratibu mpya ili kuwabeba upotolo ingawa Namungo wanawaumbua kwa matokeo wanayopata
 
Kwema Wakuu,

Utaratibu mpya wa TFF unasema kua endapo mshindi wa Azam Sport Federation Cup maarufu kama FA Cup atakua ndio huyohuyo mshindi wa Vodacom Premier League (Ligi Kuu) basi atakaekua nafasi ya pili VPL ndio ataenda Shirikisho.

Ndio kusema kua kama utaratibu huu ungeanza kutumika mwaka mmoja nyuma basi Yanga ndio angekua anatuwakilisha kimataifa badala ya Namungo. Maana Simba alikua wa Kwanza VPL na FA, na Yanga alikua wa Pili VPL huku Namungo akiwa wa Pili FA.

Sasa kwa kasi ya sasa ya Simba ni wazi kua atabeba vikombe vyote hivi viwili kama mwaka Jana, hakuna wa kuizuia iwe mwaka huu na hata mwakani. Labda Simba wenyewe waamue tu wasibebe kombe mojawapo hasa FA kama ntakavyoleza hapa chini.

Najaribu kupiga hesabu hapa naona zinaibeba Yanga kwenye kombe la Shirikisho. Sababu endapo ikafanikiwa kushika nafasi ya pili kwenye VPL.

Njia pekee ya Yanga kutocheza Kombe la Shirikisho (kucheza Klabu Bingwa hio hawezi) ni endapo atatolewa kombe la FA kisha Simba afungwe (ajifungishe) fainali ya FA. Hapo ni atakaekua bingwa wa FA ndo atakaecheza Shirikisho.

Je Simba atakubali kuliachia hilo kombe ambapo akilishinda itambeba Yanga kama mshindi wa pili VPL??

Kwa hiyo watani zangu hawa wanaweza nao kuanza kupanda ndege kwa nafasi "ya kupewa" hata kama wasipokua washindi wa kombe lolote bila hata ya kusubiri zile nafasi 4 za upendeleo.
Hii sheria imebadilishwa lini?
Lete hata kifungu hicho cha sheria,
 
Back
Top Bottom