Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Hawajui walitendaloHuwa nashangazwa sana na jina la hii timu, Naona Limekaa kichawi chawi sana. Hebu oneni Young Africans Sports club eti inapotajwa kiswahili inabadilika na kuwa Yanga Afrika?
Kwanza maana ya Yanga ni nini?
Tuendelee kula mihogo
Mbona hushangai kariakoo na majina mengine.Huwa nashangazwa sana na jina la hii timu, Naona Limekaa kichawi chawi sana. Hebu oneni Young Africans Sports club eti inapotajwa kiswahili inabadilika na kuwa Yanga Afrika??
Kwanza maana ya Yanga ni nini?
Tuendelee kula mihogo
Sasa mbona wanajiita Yanga Afrika??Kama ni kutohoa basi iitwe Yang'a
We unajua maana ya YANGA???Mbona hushangai kariakoo na majina mengine.
Ila wana Simba mnahangaika na Yanga kuliko wanaYanga wenyewe
Ni jina tu kama ilivyo Uber, Yango, adidas, Nike na kadhalika maana muda mwingne brand names unakuta hazina maana kwenye lugha husika.We unajua maana ya YANGA???
Hauwezi kubadilisha hiyo avatar?Huwa nashangazwa sana na jina la hii timu, Naona Limekaa kichawi chawi sana. Hebu oneni Young Africans Sports club eti inapotajwa kiswahili inabadilika na kuwa Yanga Afrika?
Kwanza maana ya Yanga ni nini?
Tuendelee kula mihogo
Naweza shida ipo wapi kwaniHauwezi kubadilisha hiyo avatar?
Kwaio Wala mihogo mliamua kubadilisha Young Africans ndio mkaona mjiite YANGA AFRIKA???Ni jina tu kama ilivyo Uber, Yango, adidas, Nike na kadhalika maana muda mwingne brand names unakuta hazina maana kwenye lugha husika.
Kwa sababu Young africans ingekuwa changamoto kwa wa swahili basi ikawa yanga afrika
Washabiki wake ndio walipelekea iitwe hivyo maana elimu ilikuwa ni mtihani so matamshi yakawa yanawasumbuaHuwa nashangazwa sana na jina la hii timu, Naona Limekaa kichawi chawi sana. Hebu oneni Young Africans Sports club eti inapotajwa kiswahili inabadilika na kuwa Yanga Afrika?
Kwanza maana ya Yanga ni nini?
Tuendelee kula mihogo
Wewe mapengo Yanga ni Kiswahili?Huwa nashangazwa sana na jina la hii timu, Naona Limekaa kichawi chawi sana. Hebu oneni Young Africans Sports club eti inapotajwa kiswahili inabadilika na kuwa Yanga Afrika?
Kwanza maana ya Yanga ni nini?
Tuendelee kula mihogo
YANGA ni kizungu??Wewe mapengo Yanga ni Kiswahili?
As long as tukikutana na nyinyi mnakula kipigo, who caresKwaio Wala mihogo mliamua kubadilisha Young Africans ndio mkaona mjiite YANGA AFRIKA???
Hakuna mahali popote Young Africans inapoitwa Yanga Afrika inaitwa "YANGA" acha kuzua uongo. Kama vile Arsenal inaitwa GunnersKwaio Wala mihogo mliamua kubadilisha Young Africans ndio mkaona mjiite YANGA AFRIKA???
Kwaio kumbe sisi Wala mihogo Toka zamani za kale tulikuwa na ilo tatizo la upungufu wa elimuHata pale kawe ,ilikuwa mtaa uliokuwa unatumika kupitisha ng'ombe kwenda kwenye kile kiwanda Cha kusindika nyama ,lakin watu wakageuz ule mtaa kutoka "cow way " mpaka "kawe"
Kwa hiyo ni upungufu tu wa elimu