Kajamba?Jibu analo manulaView attachment 2416850
Kwani unateseka?Huwa nashangazwa sana na jina la hii timu, Naona Limekaa kichawi chawi sana. Hebu oneni Young Africans Sports club eti inapotajwa kiswahili inabadilika na kuwa Yanga Afrika?
Kwanza maana ya Yanga ni nini?
Tuendelee kula mihogo