YOUNG AFRICANS SC na SIMBA SC Mkapeperushe vyema bendera yetu ya Taifa huko ALGERIA.

YOUNG AFRICANS SC na SIMBA SC Mkapeperushe vyema bendera yetu ya Taifa huko ALGERIA.

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wasaalam ndugu zangu Watanzania,
nabubujikwa na machoji ya furaha kuona Taifa la Tanzania likiwakilishwa na timu mbili kimataifa ktk mashndano ngazi ya vilabu yaani CAF CHAMPIONS LEAGUE na CAF CONFEDERATION CUP, ambapo hapo kesho Yanga atapeperusha bendera ya Taifa kusaka ushindi wa kwanza baada ya kufungwa nyumbani mbili sufuri na al hilal ya sudan ktk mashndano ya CAFCL huku simba kesho kutwa nae akisaka ushindi wa pili baada ya kuichakaza fc bravos nyumbani moja sifuri Katika mashndano ya CAFCC. Simba na Yanga wapo wote nchini Algeria kuliwakilisha taifa. Nipende kutoa rai kwa Watanzania wote bila kujali mapenzi ya timu,ukanda,rangi,kabila,kipato au chochote kile kuziombee timu zetu hizi ushindi. uzalendo kwanza.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magojwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.

OKOENI TAIFA LENU LEO.
MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Back
Top Bottom