tunahitaji timu yatu ifike mbali zaidiNi hatua nzuri kwa Yanga, Mungu ibariki Yanga.
Ndivyo hivyo, ukiangalia sana utakuta hakuna aliyefanya uhakiki wa hilo deni. Ni yeye mwenyewe ndiye aliye hakiki na kutoa taarifa!Upo sawa... maana yake ni kwamba kwa huyo mmoja mkudishaji ndo atalipa, lakini hao wengine wanaodaiwa watalipwa na Yanga Club. Maana klabu bado ipo na mapato mengine.
sijui umenielewa hapo???
Achana nae huyo mng'oa vitiproposal yako we ni ipi?
wewe unachangia shilingi ngapi kwenye klabu?
Nyie si ndo wale wa upande wa pili unaingia kwa ajiri ya kuzomea ni bora ungekaha nyumban tuWe unajua naingia game ngapi za Yanga pale Taifa? Au hujui kitendo cha kwenda uwanjani na kulipa kiingilio naichangia timu?
Proposal yangu ni kwamba Yanga iachane na huu mkataba.
Umekosea mkuu ang'oe huu uzi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona hii taarifa imekukera ng'oa kiti.
"7. Mkodishwaji atahakikisha kuwa Timu ya Soka ya YANGA haitamaliza chini ya nafasi nusu mwisho wa msimu wa ligi ya Tanzania Premium League wakati ikiwa ndani ya kipindi cha Mkataba."
Hapa sijaelewa kitu.
Hahaha hatari sana.Ukiona hii taarifa imekukera ng'oa kiti.
Alternatively ulitaka yanga ifanyaje?Mkataba wa ki-Mangungo kabisa kama karne hii ya 21.
Eti "mkodishwaji atalipa deni la tsh. 11.6Bn kwa mkopeshaji mmoja hivi"
Swali: huyo mkopeshaji mmoja ni Nani?
Si waweke wazi kuwa ni Manji watu wajue moja.
Kichekesho kingine,eti mwaka wowote atakaopata faida basi 25% iende klabuni,
sasa faida atapataje ikiwa mkodishwaji atakuwa yupo busy akilipa deni kwa mkopeshaji? Ha ha ha
-la mwisho,eti mkodishaji atailipa Yanga 100m kila mwaka kwa klabu kufanya maendeleo yake kama kujenga uwanja wake nk.
-Pia akiingia mkataba wowote Yanga haina haki ya kuhoji.
My take: hapa ndo utaona ni afadhali ya sultan Mangungo maana yeye kilichomponza ni kutojua kusoma na kuandika tu but he was intelligent.
Haitamaliza chini ya nafasi ya pili. Kosa la kimaandishi Salome
Chief Mangungo anajua
Hlf iingie mkataba upi?We unajua naingia game ngapi za Yanga pale Taifa? Au hujui kitendo cha kwenda uwanjani na kulipa kiingilio naichangia timu?
Proposal yangu ni kwamba Yanga iachane na huu mkataba.