Young Africans SC yashika mkia ligi kuu

Young Africans SC yashika mkia ligi kuu

Mributz

Senior Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
177
Reaction score
527
1723816682881.jpg
 
Sio ajabu maana misimu yote mitatu ya nyuma ndio nafasi anayoshika mwezi wa nane ila ikifika mwezi wa tano ndiye kinara wa ligi huyo.
 
Yaani hapo mpaka ije itokee timu inayoanza na Z ndiyo itapanda nafasi moja juu, sasa ni leo hiyo? Waache washuke daraja tu hakuna namna.

Hii timu ili iwe ya kisasa inabidi ibadili kila kitu chake. Jina, rangi, nembo, kauli mbiu na wapate mashabiki wapya. Hersi kazi anayo....
 
Back
Top Bottom