Yaani hapo mpaka ije itokee timu inayoanza na Z ndiyo itapanda nafasi moja juu, sasa ni leo hiyo? Waache washuke daraja tu hakuna namna.
Sawa haina shida subirini data za mwakani tatizo hamjui hizo data zinapatikana vipi, lack of social inference skills
Good thinkingSaivi wanatakiwa wawe juu pamba na prisons kwa point moja moja zao