Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Nipe mfano wa team iliyowahi kushushwa daraja kwa kosa la kimkataba, soma kanuni acha kupotoshwa
Hapo ishu ni rushwa, mulitoa rushwa TFF ili Morrison acheze ligi wakati kiuhalisia hakuwa na sifa hiyo, mulichelewa kumsajili[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwakani Nyani watacheza daraja la tatu
 
Mkuu huyu bwalya, Rutanga na Kotei umewatoa wapi?
Mwanangu Bwalya keshachukuliwa Simba! Sijui kama utopolo tuko serious! Tunaishiaga kuyaonesha Mikia wachezaji wazuri yanachukua! Hivi hatuwezi kufanya kimya kimya kama tunafukuza mwizi wa kuua?
 
Mnadanganywa kama watoto na mnakubali, nawaambia daily hapa, muwe makini na hao jamaa zenu

Ukianza hizo picha, tokea jana watu wenu wako. Zambia, Nugaz alienda airport kupokea mchezaj
...na hata baaada ya kufeli akajibu mshabiki wa Yanga kama unavyoona hapo chini, ni masa Zaid ya matatu sasa yamekatika huyo mtu hajatua,

Safari hii mmepata viongoz, wanawachezea wanavyotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…