Young Africans vs Platnums in Zimbabwe

mkuu Msuva hastahiri kutoka,maana inaonesha wanamuogopa sana thats why wamenkamia.
by the way hayo ni mawazo yangu,msije mkanizodoa mie mkia bhana!!!

Tunataka goli bana...Angalau tutoke 1-1 maana kilichopo ni kwamba Msuva anatukaba..Anapoteza mpira kizembe
 
Wazimbabwe wanashangaa hapa.. hii ndio timu iliyotufunga 5?? Mbona kupiga hata 4 complete passes hawawezi
 
Azam TV katika ubora wao...

Wanachanganya madawa...Teh

Matangazo Zimbabwe...Picha za Uganda...Safari bado wanayo Azam TV
 
Hatimaye Msuva anatoka na Mrwanda anaingia...
 
Dk 85

Platinum 1 - 0 Yanga

Aiseee.
Yani wivu sasa!!!!maana mechi yetu ya shy ni mpaka j3.
mbaya zaidi na msimu huu hatutapata nafasi ya kuiwakilisha nchi!!!
KOPUNOVIC must go nyambafu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…