Mwanagandila
Senior Member
- Oct 9, 2011
- 182
- 100
Mechi hiyo haichezwi kesho wewe....Unawajua Al-Shabaab au unawasikia?...Kama maandamano ya Dowans yamesitishwa unadhani kuna uwezekano wa kukusanya watu approx. 50,000 kwenye scene moja?...Kama hujitaki endelea kuongelea mechi ya kesho!
Mnyama kashapakatwa