Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,112
Cheki mipaja ilivyoshikamana. Hamna kitu hapo. Kweli kila mtu ana choice. Na hizo choice kuna wanaokosea pia. Hilo Sancoka bonge sana linaboaKila mtu ana choice zake Mimi napenda miguu minene na booty hyo yani so usiponde
Kweli wrong room nisaidien japo picha tu nimwone hyo amber rose wa bongoSorry!!
Wrong room.
=> EXITKweli wrong room nisaidien japo picha tu nimwone hyo amber rose wa bongo
Hahahhh sitaki si unajua nilikuonaNa mimi nifollow[emoji13] [emoji13]
Kwahyo sisi flatscreen tukae pembeni mweeh msitufanyie hivyoKila mtu ana choice zake Mimi napenda miguu minene na booty hyo yani so usiponde
Flat natumia pia shunie haha usijaliKwahyo sisi flatscreen tukae pembeni mweeh msitufanyie hivyo
Ivi ni uhandishi au uandishi? tuanzie hapo kwanza.Uhandishi wako tu unadhihirisha wewe ni moja ya taka taka za pwani "Handisamu" utakua wewe
wanafanana style ya nywele au?!Amber lulu anafanana sana na Amber rose. Wakipatikana wakubwa wa kumuwezesha atafika mbali sana
Tatizo lako wewe ni mwanaume alafu unataka kushindana na wanawake! Hata Amba lulu wataka kushindana nae si kujipotezea muda hukoIvi ni uhandishi au uandishi? tuanzie hapo kwanza.
Ivi kuna mahali popote ulipoona nimeandika kwamba mimi ni mwanaume?Tatizo lako wewe ni mwanaume alafu unataka kushindana na wanawake! Hata Amba lulu wataka kushindana nae si kujipotezea muda huko
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2]Mtake radhi amber rose .... Amber lulu huyuhuyu mwenye kichwa kama ncha ya mb0.
Unajikataa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiku mwema wanaume wa Dar wanajiita ma Handsome alafu wanajikataaIvi kuna mahali popote ulipoona nimeandika kwamba mimi ni mwanaume?
Libaya bhana mimi kila nikiliona naghadhibika
ha ha haUnajikataa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiku mwema wanaume wa Dar wanajiita ma Handsome alafu wanajikataa
umemaliza?Sasa ww una uzuri gani???khaaaaa!kaz kusema wenzenu wabaya na ww ni mbaya hata Amber anasubiri,acheni roho mbaya
Kwaiyo mimi kujiita handisamu ni kielelezo tosha kabisa kama mimi ni mwanaume kwa akili zako zinavyokutuma? Je, kama mimi ni mwanamke alafu huku jf na_act kama wakiume ?Unajikataa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiku mwema wanaume wa Dar wanajiita ma Handsome alafu wanajikataa
Utakua Dume jike maana si hali ya kawaida [emoji108]Kwaiyo mimi kujiita handisamu ni kielelezo tosha kabisa kama mimi ni mwanaume kwa akili zako zinavyokutuma? Je, kama mimi ni mwanamke alafu huku jf na_act kama wakiume ?
Naona umeamua kuotea tena... Ivi nini kinakusumbua au unamimba changa?Utakua Dume jike maana si hali ya kawaida [emoji108]
Nalo ni jema, mimba ni baraka wala si kitu cha kushtua au kuumiza kwanguNaona umeamua kuotea tena... Ivi nini kinakusumbua au unamimba changa?