tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
Jux ni bishoo tu wala siwezi poteza time yangu kusikiliza ngoma zake
Sasa Young killa inamuhusu nini!!
iwe anasoma, anapakatwa, anabeba box sisi tunahusikaje!? ni mbaya sana kwa mtoto wa kiume kuwa na tabia na ishara zinazopingana na uanaume wako!! za KISHOGA!!
JUX ndio nini?
Anavaa na kupga nazo picha
hafu ana post Insta.