Young Killer na Dogo Janja wavua nguo kwenye FNL, Kuonyesha nani mkali zaidi

Fnl iliyopita, niliona dogo janja alikuwa mpole
 
nilifuatilia mpambano kwa ukaribu sana!
Killa anatembea na biti sio kawaida, kila akili nyingi
 
Naona dogo janja kachanganyikiwa mpaka kasahau kwamba young killer nayeye ana Mike yake ....daah! Eti anampa mike [emoji23] young killer wewe mungu anakuona ujuwe ....
 
Uzuri wa Young Killer ni muwazi. Hajataka kuzunguka,kaenda direct kwamba ni kweli alikuwa inspired na Dogo Janja.

Ila kuna baadhi ya wasanii wakishapata majina,basi wanadhani kumpraise msanii ni kwingine ni jambo la ajabu.

Mfano Joh Makini.
 
Uzuri wa Young Killer ni muwazi. Hajataka kuzunguka,kaenda direct kwamba ni kweli alikuwa inspired na Dogo Janja.

Ila kuna baadhi ya wasanii wakishapata majina,basi wanadhani kumpraise msanii ni kwingine ni jambo la ajabu.

Mfano Joh Makini.
Ulitaka ampraise nani?
 
Dogo janja meno yenyewe yameoza ataweza kushindana na msodoki
 
Uzuri wa Young Killer ni muwazi. Hajataka kuzunguka,kaenda direct kwamba ni kweli alikuwa inspired na Dogo Janja.

Ila kuna baadhi ya wasanii wakishapata majina,basi wanadhani kumpraise msanii ni kwingine ni jambo la ajabu.

Mfano Joh Makini.
Joh makini ni mtu wa kubebwa kama chapati kwenye sahani, jaribu kufatilia watu wote wanaobebwa wanakuwaga na nyodo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…