Habari za jioni wakuu hongereni kwa kazi poleni kwa uchovu niende moja kwa moja kwenye point yangu ilionileta hapa..
Bila kupoteza muda kutokana na ku-participate kwa kila mmoja wetu humu jamvini naamini sote tuna thread pendwa..
Kwa muda wote.Nikianza na mimi za kwangu ni.
1.JAMII HEALTH
-mimea tiba inayo tuzunguka.
2.JF TECH&GARAGE
- wazee wa road trip
3.JF LOUNGE
-no fap challenge
-selfika
-usiku wa manane
-dar es salaam & Nairobi battle...
Zipo nyingi nikiziolodhesha zote hapa hapatotosha Drop yours.