mm nimeshaanza toka tar.14 augost mwaka huu...nitafute baada ya wiki mbili zijazo nikupe mchanganuo wa gharama ambazo kwa sasa bado zinaendelea ili ufahamu namna gani ya kujianda kuwa mkulima.
mm nimeshaanza toka tar.14 augost mwaka huu...nitafute baada ya wiki mbili zijazo nikupe mchanganuo wa gharama ambazo kwa sasa bado zinaendelea ili ufahamu namna gani ya kujianda kuwa mkulima.