locust60 Senior Member Joined Oct 1, 2008 Posts 101 Reaction score 12 Apr 25, 2009 #1 Wadau naomba kuuliza nipo nchini china kikindi cha nyuma youtube ilikuwa inapatikana kwa sasa ni kama miezi miwili hivi haipatikani,je nitatizo ya computer yangu au nini,naomba mwenye ufahamu na hilo anijuze.
Wadau naomba kuuliza nipo nchini china kikindi cha nyuma youtube ilikuwa inapatikana kwa sasa ni kama miezi miwili hivi haipatikani,je nitatizo ya computer yangu au nini,naomba mwenye ufahamu na hilo anijuze.
Kang JF-Expert Member Joined Jun 24, 2008 Posts 5,655 Reaction score 2,506 Apr 25, 2009 #2 Youtube imekua blocked na serikali ya China.
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Apr 25, 2009 #3 angalia wasikulishe vyura wa kihansi huko mkuu