YouTube imeingiza Faida ya Tsh. 19.9Trion kwa muda wa miezi 3

YouTube imeingiza Faida ya Tsh. 19.9Trion kwa muda wa miezi 3

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Kampuni ya Alphabet ambayo inaimiliki Google na YouTube imetoa ripoti ya mauzo yake na faida ambayo imeingiza katika Q4 2021 (October, November na December).

Alphabet imepata faida ya Dola Bilioni 75.3 sawa na Trilioni 174 Tshs. Hiyo ni jumla ya faida iliyopata katika biashara zake zote na matangazo. Faida yake imezidi kupanda kwa asilimia 32%.

YouTube peke yake imeingiza faida ya Dola Bilioni 8.63 sawa na Trilioni 19.9 katika faida ya matangazo; mwaka juzi YouTube ilipata faida ya Dola 6.89 sawa na Trilioni 15.9 hivyo imezidi kupanda faida.

Faida nyingine imepatikana katika matangazo nje ya YouTube, Google Cloud na huduma nyingine za Google.
 
kampuni ya Alphabet ambayo inaimiliki Google na YouTube imetoa ripoti ya mauzo yake na faida ambayo imeingiza katika Q4 2021 (October, November na December).

Alphabet imepata faida ya Dola Bilioni 75.3 sawa na Trilioni 174 Tshs. Hiyo ni jumla ya faida iliyopata katika biashara zake zote na matangazo. Faida yake imezidi kupanda kwa asilimia 32%.

YouTube peke yake imeingiza faida ya Dola Bilioni 8.63 sawa na Trilioni 19.9 katika faida ya matangazo; mwaka juzi YouTube ilipata faida ya Dola 6.89 sawa na Trilioni 15.9 hivyo imezidi kupanda faida.

Faida nyingine imepatikana katika matangazo nje ya YouTube, Google Cloud na huduma nyingine za Google.
Sisi watanzania bado tunaangaika na kupata chakula kwanza
 
Sisi watanzania bado tunaangaika na kupata chakula kwanza
Ndio level tuliyofikia kwa sasa.
Pengine miaka 30 ijayo tutapata data za namna hii kuwa JamiiForums imeingiza hata trion 20 kwa makusanyo ya miezi 3
 
Back
Top Bottom