I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Shobo zako zimekuleta kwenye thread hii.Punguza shobo
Punguza shobo
Sista tafuta hata chupa ya mirinda.Punguza shobo
Bongo Yote = One Burna BoyWCB.....ni industry ya muziki Tz
😅😅Sista tafuta hata chupa ya mirinda.
Subscribe ni kama ku_follow mtu, haihitaji hata 0.15mbBongo vifurushi ilikuwa ubwete sana.
Lazima kwanza uingie youtube.Subscribe ni kama ku_follow mtu, haihitaji hata 0.15mb
Hii ni Subscribers, sio views. Kusubscribe hata usipoangalia videos bado unahesabikaBongo vifurushi ilikuwa ubwete sana.
Instagram watu wanapiga mpunga, wewe bung’aa mimacho hivyo hivyoAliyejaza 02 arena yupo chini huko ila wabongo tunapenda sana mitandao taifa linaenda pabaya sana tukija kushtuka tumeshachelewa.
Wengi wanasubscribe baada ya kucheki video. Na matangazo mengi ya kusubscribe yapo ndani ya video.Hii ni Subscribers, sio views. Kusubscribe hata usipoangalia videos bado unahesabika
Ndio, ila hii sio count ya kucheki video (views), ni count ya ‘followers’ .Wengi wanasubscribe baada ya kucheki video. Na matangazo mengi ya kusubscribe yapo ndani ya video.
Nafahamu, lakini mtu ili asubscribe inakuwa aingie youtube, aone video , akipendezwa anasubscribe kabisa. Hamna mtu anaingia youtube eti kwenda kusubscribe. Sasa basi, na hivi vifurushi vya bajeti!! Mbona lipo wazi.Ndio, ila hii sio count ya kucheki video (views), ni count ya ‘followers’ .
Mimi huwa nasubscribe baada ya kuona kwenye king’amuzi.., kama ilivyo kwa wengine wengi, ili siku nyingine akitoa video nzuri niweze kupata notification, na kama nina bando, niweze kuangaliaNafahamu, lakini mtu ili asubscribe inakuwa aingie youtube, aone video , akipendezwa anasubscribe kabisa. Hamna mtu anaingia youtube eti kwenda kusubscribe. Sasa basi, na hivi vifurushi vya bajeti!! Mbona lipo wazi.