Youtubers wa Tanzania ni vema wakatambuliwa na kuthaminiwa

Youtubers wa Tanzania ni vema wakatambuliwa na kuthaminiwa

Alagwa

Member
Joined
May 30, 2012
Posts
96
Reaction score
88
Kunekuwa na muamko mkubwa kwa vijana wanaofanya online content creation kwa upande wa YouTube. Nafikiri ni muda sasa wa kuunganisha watu pia kupata wawakilishi katika midahalo mbalimbali na kuitambulisha ili kuchukuliwa kama ni kitu cha msingi kinacho fanywa na vijana.

Pia kupata wawakilishi wa kutusemea huko TCRA. Naona waliofanikiwa kutoboa kwenye nyanja hii wengi wanakuwa wabinafsi na kutotoa ushirikiano kwa wengine.
 
Wao walishikwa mkono na nani? Kama hawakushikwa mkono kwanini wakushike wewe?
 
Kunekuwa na muamko mkubwa kwa vijana wanaofanya online content creation kwa upande wa YouTube. Nafikiri ni muda sasa wa kuunganisha watu waha pia kupata wawakilishi katika midahalo mbalimbali na kuitambulisha ili kuchukuliwa kama ni kitu cha msingi kinacho fanywa na vijana. Pia kupata wawakilishi wa kutusemea huko tcra. Naona waliofanikiwa kutoboa kwenye nyanja hii wengi wanakuwa wabinafsi na kutotoa ushirikiano kwa wengine.
Hawaha wanaoandika kichwa cha habari tofauti na content ili kumvutia mteja?
 
Pasipo kupambana mwenyewe huwezi kutoboa kijana, roho za watanzania huzijui wewe!.
 
Wema Sepetu kaolewa na mpoki vituko vya You tube
 
Hawaha wanaoandika kichwa cha habari tofauti na content ili kumvutia mteja?
YT wengi ni mambo ya habari. Bait click ni tatizo la dunia. Watengenezaji wa contents professional wengi ni hobby zaidi. Sasa hii issue ya leseni imeua local contents.

Imagine kuandaa contents lazima uwe na muda wa rehearsal, recording editing na bado unatumia bando ku upload. Tena ulipe malaki kwa mwaka ya leseni. Kwa contents ambazo haufaidiki nazo?

In that environment usitqrajie quality contents!
 
Kunekuwa na muamko mkubwa kwa vijana wanaofanya online content creation kwa upande wa YouTube. Nafikiri ni muda sasa wa kuunganisha watu pia kupata wawakilishi katika midahalo mbalimbali na kuitambulisha ili kuchukuliwa kama ni kitu cha msingi kinacho fanywa na vijana.

Pia kupata wawakilishi wa kutusemea huko TCRA. Naona waliofanikiwa kutoboa kwenye nyanja hii wengi wanakuwa wabinafsi na kutotoa ushirikiano kwa wengine.
Moja ya Vitu vya Hovyo Nilivyowahi Kukutana Navyo Mitandaoni Ni Headlines na Content za Asilimia Kubwa ya Youtube Channels za Wabongo...
 
Back
Top Bottom