Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 324
- 649
Huu ni uhuni! Ninachokiona hapa ni Mhe Yoweri Museven kutumia mbinu zingine za kimedani kujaribu "KUJIPINDUA" ili aweke mtu sahihi wa kumrithi.
Mwisho wa hii movie ninadhani atakakuja kusema amepinduliwa na Mtoto wake atashika state. Let's go!
Mwisho wa hii movie ninadhani atakakuja kusema amepinduliwa na Mtoto wake atashika state. Let's go!