Yoweri Museveni anajaribu kujipindua?

Yoweri Museveni anajaribu kujipindua?

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2019
Posts
324
Reaction score
649
Huu ni uhuni! Ninachokiona hapa ni Mhe Yoweri Museven kutumia mbinu zingine za kimedani kujaribu "KUJIPINDUA" ili aweke mtu sahihi wa kumrithi.

Mwisho wa hii movie ninadhani atakakuja kusema amepinduliwa na Mtoto wake atashika state. Let's go!

Screenshot_20221019-085058~2.jpg
 
Yes hata mimi nimeliona hilo muda sasa, itatangazwa kuwa mtoto amempindua baba yake, na kisha nchi itaongozwa kijeshi
 
Wote hawana akili na tamaa zimewadumaza wanashindwa kuridhika, yanaweza yakuta kama ya Gaddafi, familia ikarudi kwenye umaskini au jela.
 
Huu ni uhuni! Ninachokiona hapa ni Mhe Yoweri Museven kutumia mbinu zingine za kimedani kujaribu "KUJIPINDUA" ili aweke mtu sahihi wa kumrithi.

Mwisho wa hii movie ninadhani atakakuja kusema amepinduliwa na Mtoto wake atashika state. Let's go!

View attachment 2391856
Hata mimi nilishaisoma hiyo script ya movie. Hiyo ni moja ya optios nyingi.
 
Back
Top Bottom