Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 324
- 649
Bado nafikiria hii dramaHuu ni uhuni! Ninachokiona hapa ni Mhe Yoweri Museven kutumia mbinu zingine za kimedani kujaribu "KUJIPINDUA" ili aweke mtu sahihi wa kumrithi.
Mwisho wa hii movie ninadhani atakakuja kusema amepinduliwa na Mtoto wake atashika state. Let's go!
View attachment 2391856
MuhooziKainerugaba ndio nani? Ni majina mengine ya yoweri kaguta?
Muhoozi baba yake ndio kainerugaba? Au baba yake anaitwa yoweriMuhoozi
Hata mimi nilishaisoma hiyo script ya movie. Hiyo ni moja ya optios nyingi.Huu ni uhuni! Ninachokiona hapa ni Mhe Yoweri Museven kutumia mbinu zingine za kimedani kujaribu "KUJIPINDUA" ili aweke mtu sahihi wa kumrithi.
Mwisho wa hii movie ninadhani atakakuja kusema amepinduliwa na Mtoto wake atashika state. Let's go!
View attachment 2391856