YSL is dead

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855


HIVI NANI BADO ANAYO MASHATI YA YSL au perfume zake?

the man just bite the dust..developing...

 
Fat Joe na Jadakiss at least nimewasikia wakirap about them kwenye nyimbo kadhaa and yeah Rick Ross too.

RIP
 
Hivi madisaina wetu bongo wako timamu?? maana nawona ktk fasheni show tu lakini hawapo madukani......
 
Habari imenisikitisha mno mie ni mpenzi wa Cologne yake Jazz toka miaka ya 80's.Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…