Yu wapi aliyesigina Kitabu cha Andiko la Katiba huko nyuma?

Yu wapi aliyesigina Kitabu cha Andiko la Katiba huko nyuma?

mavumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
596
Reaction score
328
Nakumbuka niliwahi kusikia kuna Bwana MMoja aliwahi kuisigina Kitabu cha Katiba huko nyuma. Pia vyombo taasisi na watu mbali mbali walikuja juu na kutaka "anyongwe hadharani". Sijui Kashfa hii iliishia wapi na huyo Bwana yu wapi?
 
Back
Top Bottom